Thursday 21 March 2013

[wanabidii] Hili la watumishi wa umma wanaopoteza uaminifu na baadaye ati kushushwa cheo

Wadau,

Mimi bado halijaniingia akilini; ninachoelewa mtumishi wa umma huwa anakula kiapo cha uaminifu pindi anapokabidhiwa kazi ya umma; sasa endapo atakiuka ama kuonyesha nia ovu ama kula njama kutenda kosa, huyo moja kwa moja anastahili aidha kuwajibishwa kwa kulazimishwa kujiuzulu ama kuachishwa kwa manufaa ya umma; sasa iweje leo hao wafanyakazi wa umma waliokula njama za kutaka kujichotea mabilioni ya shillingi bila hata ya chembe ya aibu kwa kutaka kuiba fedha za umma kwa kutumia jina la Raisi, ati washushwe vyeo!!!; jamani mie nadhani tufike mahali tuangalie na hizi sheria zetu za maadili kama vipi napendekeza zifanyiwe marekebisho na marekebisho hayo yaingizwe kwenye katiba mpya. Vinginevyo wanachi tuamini hapa kuna kulindana; watu kama hawa hawastahili kuwepo ama kukabidhiwa madaraka ya umma; sheria zetu ni mbovu ndio maana zinalinda ouvo; km zinashindwa kuwahukumu watu waovu kama hao

Regards,
Lucas
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment