Friday 8 March 2013

Re: [wanabidii] UTEUZI WA BODI YA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA ARUSHA

Watu wamezeeka.wamestaafu.watafanya nini kipya?kubebana huku kutaisha tu kuanzia 2015!

On Friday, March 8, 2013, James Bokella <bokella.james@gmail.com> wrote:
> Mh. Dr HK,
>
> Hongera sana kwa uteuzi wako na nina imani utaweka mchango na mawazo
> mapya katika bodi hiyo.
>  kwa maendeleo ya nchi yetu.
>
>
> 2013/3/8 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>:
>> UTEUZI WA BODI YA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA ARUSHA (AICC)
>>
>> Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua
>> kwa kipindi kingine Balozi Christopher Liundi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya
>> Kituo cha Mikutano cha Kimataifa-Arusha (AICC).
>>
>> Aidha, kufuatia uteuzi huo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
>> Kimataifa, Mhe. Bernard Kamillius Membe (Mb.) amewateua Wajumbe wa Bodi hiyo
>> kama ifuatavyo:-
>>
>> Bw. Aggrey Mlimuka
>> Bw. Dash-Hood Mndeme
>> Dkt. Ali Mndali
>> Mhe. Balozi Abdi Mshangama (Mstaafu)
>> Mhe. Faith Mtambo (Mbunge wa Viti Maalum)
>> Mhe. Dkt. Hamis Kigwangala (Mbunge wa Nzega)
>> Mhe. Mary Chatanda (Mbunge wa Viti Maalum)
>> Mhe. Ali Mzee Ali, (Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi - Zanzibar)
>> Bw. Wilson Masilingi (Mbunge Mstaafu)
>>
>>
>> Uteuzi wa Mwenyekiti na Wajumbe hao ni kwa kipindi cha miaka mitatu (3)
>> kuanzia tarehe 06 Machi, 2013.
>>
>> IMETOLEWA NA: WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, DAR ES
>> SALAAM
>>
>> 8 MACHI, 2013
>>
>>
>> --
>> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
>> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment