Wednesday 20 March 2013

Re: [wanabidii] TATIZO LA ZITTO ZUBERI KABWE NI NINI ?

Muhingo nadhani umesema vizuri hapo hasa TEAM work spirit. Kimtizamo naona Zitto anaweza kufanya kazi na wengine, ukiona hata ambavyo amekuwa anashirikisha wabunge wenzake katika Kamati aliyopewa kuiongoza hapo nyuma mimi niliona aliwashirikisha vizuri.

Tatizo ninaloliona mimi wakati mwingine ni timu unayopewa kufunga nayo magori. Katika timu aliyomo haitaki uelwa wake, hasa tu pale alipotaja kuwania Urais basi timu ikaanza kumkataa. Hapa ni sawa na kusema kwenye mpira mchezaji wa nafasi ya ulinzi atafute kufunga goli halafuwachezaji wa mbele waanze kumlaumu na kisha waseme huyu hafai kabisa.

Hata hivyo kwa kuwa anasoma sana hapa jukwaani naamini taanza kuifanyia kazi. Lakini mh timu yenyewe anayotakiwa kufanya nayo kazi haimuhitaji huenda anakubalika na upande wa pili... ni mtizamo wangu tu kaka MUHINGO.

Sent from Yahoo! Mail on Android



From: ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>;
To: <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] TATIZO LA ZITTO ZUBERI KABWE NI NINI ?
Sent: Wed, Mar 20, 2013 2:53:41 AM

Mimi nionavyo Zitto ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kupambanua mambo, kujieleza nakadhalika.
Lakini naona kana kwamba ana tatizo la kufanya kazi katika TEAM.
 
Tusidhani wale wanaomweleza kama alivyolileta Yona ni wabaya wote. Sidhani.
Hebu tuliangalie hili kwa kuyachunguza yale wayasemayo wanaomuandika kama asemavyo Yona katika hoja ya msingi na tuuangalie mwenendo na matamshi ya Zitto. Tutaliona tatizo lake na huenda kama ni mtu anayepokea Feedback akafanya mabadiliko na kukifaa CHAMA chake na Taifa kwa ujumla.
Watu wenye akili na uwezo mkubwa wakati mwingine hukwama katika kufanya kazi kwenye team.
Si kazi ndogo kufanya kazi kwenye team. Mahala pengine unahitaji kuwasubiri wenzako na hii 'ikakuchelewesha'.
 
Hatwendi peke yetu katika kazi ya wengi. Katika Team pamoja na malengo ya kila mtu-tuna malengo ya Pamoja. Mfunga goli hutegemea walinzi na wengine. Mtu ukitaka kuanzoa mwanzo wa uwanja mpaka golini utafanya wote mfungwe. Hebu tuangaie huko na tunaweza kumsaidia kabwe kama ndiyo nia ya mleta mada.
 
Elisa Muhingo

--- On Tue, 3/19/13, Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk> wrote:

From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
Subject: Re: [wanabidii] TATIZO LA ZITTO ZUBERI KABWE NI NINI ?
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, March 19, 2013, 10:38 AM

Kitila,

Hili unasema ni kweli hasa ukichanganya na ushamba, umaskini, wivu, na kutojituma inazidisha chuki za akina sie!

Ni balaa la kijamii!
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Vodacom Tanzania.

From: Kitila Mkumbo <kitilam00@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tue, 19 Mar 2013 19:52:01 +0300
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] TATIZO LA ZITTO ZUBERI KABWE NI NINI ?

Ukitulia vizuri ukaangalia mbele na nyuma utaona kwamba katika jamii yetu tuna tabia ya kuchukia watu wenye uwezo, hasa wa kiakili. Tangu tukiwa mashuleni watu wanaonyesha uwezo mkubwa darasani na wanaofanya sana bidii huwa wanachukiwa na kutengwa. Hilo linaendelea hadi katika jamii na linajionyesha waziwazi pale ambapo huwa tunajikuta tunachagua viongozi bora viongozi na kuwaacha wale wanaoonekana wana uwezo. Mtu anayeonekana ana uwezo atapigwa vita kila kona hadi 'aishe' kisiasa. Ni nadra katika jamii yetu mtu mwenye uwezo sawasawa akapenye katika uongozi. Ndivyo alivyokwama SAS, na ndilo jambo analohangaika nalo ZZK na yeye amekuwa na ngozi nzito kwelikweli!!


2013/3/18 Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Ndugu zangu

Katika siku za karibuni tumeona vitisho , kashfa , dharau na aina
nyingine za dhihaka dhidi ya mwanasiasa kijana mhe zitto kabwe na hata
wakati mwingine unasoma kwenye mitandao ya kijamii safari zake binafsi
au mikutano binafsi ikichapishwa kwa maana ambayo sio sahihi .

Mpaka sasa hivi sijawahi kuelewa tatizo la Zitto Kabwe ni nini mpaka
anaandamwa ndani ya chama chake kwa siri siri na hata kwa uwazo tu
toka kwa baadhi ya viongozi na wanachama ambao ungetegemea wawe ndio
kichocheo ya maelewano ndani ya chama na nje .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment