Sunday 24 March 2013

Re: [wanabidii] Re: Polisi acheni kuua wananchi, mtamalizwa na ninyi!

Ni vyema watu wengi wanaendelea kumjua vilivyo mtu aitwaye Yona. Ingawa tuko watu wachache sana tunaweza kudiriki kumwambia ukweli wake. Leo Chifu Mantinyi umempatia zaidi ya kubwa. Sikumbuki lini walau mara ya mwisho, aliwahi hata kuelewa hata vitu rahisi. He never understand anything material, achilia mbali 'simple arthmetics'. 

Ndiyo maana kila siku nasisitiza hapa, tulio na moyo, roho, mwili n akili, tuendelee kumsaidia. Anahitaji msaada mkubwa kuliko bila shaka.

KMa hawezi hata kuelewa kitu kinaitwa uhai wa binadamu na uvunjifu wa haki ya msingi ya kuishi, sijui anaweza kujua 'hesabu' gani duniani.

Tumaini Makene
CHADEMA Senior Information(Press) Officer
0752 691569/ 0688 595831

Sent from my iPad

On Mar 24, 2013, at 8:03 PM, Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com> wrote:

Yona,
 
Usiniletee upumbavu wako. Kichwani nimeweka, na chanzo nimeweka.
 
Hakuna uchochezi. Polisi waache kuua.
 
Narudie tena: Usiniletee upumbavu wako hapa.
 
Polisi hana haki ya kumpiga risasi mwendesha bodaboda na abiria wake, hata kama amekataa kusimama. Isome hiyo habari.
 
Matinyi.
 
 

 
> Date: Sun, 24 Mar 2013 09:57:55 -0700
> Subject: [wanabidii] Re: Polisi acheni kuua wananchi, mtamalizwa na ninyi!
> From: oldmoshi@gmail.com
> To: wanabidii@googlegroups.com
>
> Ndugu Matinyi ungetenda haki kwa kuweka kichwa halisi cha habari
> husika badala ya kuweka chako ambacho ni cha uwongo na cha uchochezi .
>
> On Mar 24, 7:49 pm, Mobhare Matinyi <mati...@hotmail.com> wrote:
> > Namtumbo residents kill irately firing policeman        By Nathan Mtega                                 24th March 2013
> >
> > Enraged people yesterday killed a police officer in Namtumbo district, Ruvuma region after he opened fire on a bodaboda driver who had two passengers on board.The police officer identified as PC 7771 Yohana was killed by wananchi using traditional weapons including clubs at Ngwinde area in Namtumbo after he opened live ammunition on a motorcycle driver identified as Makisio Ngonyani (27).Eyewitnesses spoke to The Guardian on Sunday yesterday saying the incident occurred as PC Yohana from Namtumbo district police station was on patrol together with PC Kamugisha. He ordered the bodaboda driver to stop on grounds that he had violated traffic laws by carrying two passengers.They said after the bodaboda driver refused to stop he fired at him but the bullet injured one of the passengers before it hit the bodaboda driver on his head, killing him instantly.Having realized that he had killed the bodaboda driver the two police fled with their motorcycle  before other motorcyclists ran after them up to Ngwinde area where they  surrounded them, assauting them with traditional weapons.PC Kamugisha was seriously injured and rushed to the Ruvuma Referral Hospital while PC Yohana was killed.Ruvuma Regional Police Commander Deusdedit Nsimeki confirmed the incident.                                    SOURCE:                                 GUARDIAN ON SUNDAY
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment