Wednesday 20 March 2013

Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Wakikuyu wanatwaa ardhi Arusha?

Muganda,
Wale wazungu wa Zimbabwe ni raia wa Zimbabwe ambao kwa sababu za kihistoria na madhambi ya babu zao walichukua ARDHI kubwa Zimbabwe!

Sio investor kwa maana ya kuwa mtu Kutoka Nje.


From LR

On 20 Mac 2013, at 12:57 alasiri, "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com> wrote:

Jamanim naomba niulize swali la kizushi kidogo. Hivi wale wazungu wa Zimbabwe ambao Mugabe amewatimua mashambani
hawakuwa investors? Mbona sisi tunakimbilia kuwapa ardhi yetu? Nimesema ni swali la kizushi.
em

2013/3/20 alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com>
Hildarda,
Unaposoma report nyingi juu ya EIA unakata tamaa. Maana huko kilwa EIA imefanyika lakini hazifuatwi na mahala pengine hazifanyiki ipasavyo (Rushwa). Watu wana andika report kufavour investors, kwahiyo EIA kama tool ya kusaidia decision making inakosa maana kwa sasa. Zingefanywa vizuri na mtu akareport kilichopo na kutoa mapendekezo sahihi zingesaidia sana. Tunatakiwa kubadilika sana, hata wasomi wamekua corrupt, hawaangalii mstakabari wa nchi hii 25-50 years to come. Ni aibu sana.
Alexander



From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, March 20, 2013 7:53 AM

Subject: Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Wakikuyu wanatwaa ardhi Arusha?

Halafu hawa investors wanaochukua ardhi kubwa na kuanzisha mashamba na biashara, lazima kufanyike EIA kwanza na benefit sharing scheme yake kwa wananchi ijulikane. Lazima kuwe na elimu kwa jamii kujilinda na kulinda watoto wao na masuala ya sexual abuse. Kwani ukifika maeneo ambapo wapo utaona jinsi magari yao yalivyo na visichana vidogo waliovaa kihuni, wanaingia nao bar na lodging; utaelewa na wananchi mambo yao ya kutumia walinzi wao kuwapelekea wasichana, utakuta mtandao wa changu doa unazagaa maeneo hayo na masuala ya abnormal sex kuanza kuzagaa. Tunaona huko yaliko makambi ya uwindaji na huo uwekezaji. Wakati wa msimu wa uwindaji sio kuwinda wanyama tu na visichana na vijana kwa michezo hiyo michafu na wanaingia nao makambini na hoteli tunaangalia. Jinsi tunavyofungua uwekezaji na haya yataongezeka.

tujitahidi kulinda jamii yetu ili tupunguze mambo hayo, ukimwi na genetically transmitted diseases.

--- On Tue, 19/3/13, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Wakikuyu wanatwaa ardhi Arusha?
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 19 March, 2013, 22:09

Na ajabu ya ajabu, Agrosol hawana zaidi ya eka 17,000 hapa Marekani. Wanakuja Bongo wanapewa eka 600,000. Nasikia kule Mpanda wanataka eka 800,000. Halafu masharti yao ni kwamba mazao watakayozalisha wanapeleka soko la nje.
Sisi tutaendelea kuwa watizamaji wakati wageni wanatajirika kwa migongo yetu. CCM has to go.
em

2013/3/19 Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com>
Kivuyo unamaanisha Kibo Palace iliyopo Corridor area au Palace hotel iliyopo boma road?
Swala la ardhi hapa Tanzania ni tete sana,huko kusini kampuni ya Agrosol imechukua zaidi ya hekari 600,000,kwa msaada wa Serikali dhaifu ya ccm
Ndio maana husema kila kuwa tumeshindwa kujitawala


On Tue, Mar 19, 2013 at 10:52 PM, Boniface Magessa <magessabm@gmail.com> wrote:

Kivuyo,
Kibo Palace bado ni ya bepari wa rombo..ana share na NHC

On Tuesday, March 19, 2013, Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com> wrote:
> Kivuyo
>
> Alinunua kwa pesa ngapi aisee
>
>
> 2013/3/19 Lemburis Kivuyo <lembu.kivuyo@gmail.com>
>
> Watanzania wanaouza ardhi kwa wakikuyu wasilaumiwe hata kidogo. hata wewe ungeuza kwa mtu mwenye pesa unazozihitaji. Serikaloi ndiyo inatakiwa kusimamia na kuratibu sheria ichukue mkondo wake. wanachofanya 
>
> ______________________________________________
> Real Change for Real Development,  
> Lemburis Kivuyo
> +255654650100/078 7665050/0755646470
> Website: www.kivuyo.com,  
> Facebook: https://www.facebook.com/ujasiriamali
> Titter: http://twitter.com/lembu1
> Linkedin: http://tz.linkedin.com/in/lembukivuyo
> Google+: gplus.to/lembukivuyo
>
> 2013/3/19 Lemburis Kivuyo <lembu.kivuyo@gmail.com>
>
> Kenyata mwenywe anamiliki hoteli ya 4 or 5 stars Arusha inayoitwa Kibo Palace ambayo aliuziwa kutoka kwa fisadi ile ya rombo
>
> ______________________________________________
> Real Change for Real Development,  
> Lemburis Kivuyo
> +255654650100/078 7665050/0755646470
> Website: www.kivuyo.com,  
> Facebook: https://www.facebook.com/ujasiriamali
> Titter: http://twitter.com/lembu1
> Linkedin: http://tz.linkedin.com/in/lembukivuyo
> Google+: gplus.to/lembukivuyo
>
> 2013/3/19 alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com>
>
> Hildegard,
> Hakuna kipindi ambapo Tanzania tunatakiwa kua na Migration Department inayowajibika ipasavyo kama kipindi hiki ambapo sera za utandawazi zinapaliliwa sana, pamoja na hiki kitu kinaitwa 'EAC'.
>
> --
> Bariki G. Mwasaga,
> P.O. Box 3021,
> Dar es Salaam, Tanzania
> +255 754 812 387
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>  
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>  
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>  
>  
>
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
Ephata Nanyaro
P.o.box 15359
Arusha
+255 754 834152
Skype.nanyaro.ephata
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment