DR HK na Watanzania wengine
ENL ni mtuhumiwa tu. Tena mtuhumiwa wa maneno ya Watu.
Hakuna hata mahakama yenye file yake kuwa yeye ni mtuhumiwa.
Ukiwa mtuhumiwa wa aina yoyote ya kashfa au mashitaka bado
una haki ya kugombea popote pale na hakuna wa kukuzuia. Lakini
mtuhumiwa huyu EL anatuhumiwa zaidi na baadhi ya wanaCCM
hivyo kwangu mimi naita conflict on interest. Hebu wekeni
jamvini tuhuma zaidi za EL ambazo ni zaidi ya richmond lakini
Kumbuka hata akiwa na tuhuma milioni moja ni tuhuma tu
hazimzuii kuwa mgombea wa uraisi kwa ticketi ya ccm. na kuingia
ikulu kwa ticketi ya ccm
Regards
xn
2013/3/11 <hkigwangalla@gmail.com>:
> XN, mbona unaleta hoja za ajabu sana hapa? Kwani mimi nimemzuia asiwe Rais, ama ni adui yangu? Yeye akiwa Rais na awe tu, si ni yeye?! Mimi nasema amechafuliwa sana na hauziki kirahisi kwa wananchi. Kwa kuwa anajitahidi kujenga mtandao wake ndani ya CCM na kama ikatokea akashinda maana yake we will have to face matusi na kashfa kwenye kampeni na tutajitetea kwa siku zote 70 za kampeni huku wakiendelea kutuchafua! Je tuko tayari kwa hilo? Huyu mtu waliishamchafua siku nyingi sana, jamaa watakuwa wakipita kukumbushia tu. Mimi SIMUUNGI MKONO ng'o, na ni a matter of simple reasoning, ana kashfa nyingi sana na ninaipenda CCM na nchi yangu!
> Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
>
> -----Original Message-----
> From: xavery njovu <njovucom@gmail.com>
> Sender: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Sun, 10 Mar 2013 15:33:47
> To: <wanabidii@googlegroups.com>
> Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
> Subject: Re: [wanabidii] RE: káma Uhuru kaweza why not Lowasa?
>
> haaaa Dr HK
>
>
> Jiandae ENL kuwa president wako. Hivi utaresign ubunge yeye akishinda
>
> Regards
> xn
>
> 2013/3/10 <hkigwangalla@gmail.com>:
>> MJL,
>>
>> Binafsi sina tatizo na Mzee Lowassa na uwezo wake kisiasa, in fact anatisha!
>> Kutisha huku kumemfikisha hapo alipo lakini nina mashaka na taasisi ya urais
>> kubaki CCM kama tutampa bendera apeperushe dhidi hata ya jiwe! Maana jiwe
>> litang'ara kuliko yeye, kwa jinsi wapinzani wake walivyofanya jitihada za
>> kumchafua na wakafanikiwa! Kwa hakika hasafishiki! Alilazimika kujiuzulu
>> u-WM kwa tuhuma, unaligeuzaje hili? Tukimteua Lowassa kusimama kwa tiketi ya
>> CCM, tutashindwa uchaguzi kabla hatujaondoka Dodoma!
>> Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
>> ________________________________
>> From: "mutabaazi lugaziya" <mjlugaziya@mail.com>
>> Sender: wanabidii@googlegroups.com
>> Date: Sun, 10 Mar 2013 03:21:36 -0400
>> To: <wanabidii@googlegroups.com>
>> ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
>> Subject: Re: [wanabidii] RE: káma Uhuru kaweza why not Lowasa?
>>
>>
>>
>>
>>
>> "Binafsi nashangaa
>> pia,kwani nini Lowasa amekua kimya mpk wakati huu akiacha tuhuma iza ufisadi
>> zimtafune kiasi hicho?"
>>
>>
>> Bwana Ngupula, hilo ndio swali la kujiuliza! Unadhani wanasheria hawajui?
>> Wanaoitetea Dowans/Richmond, kwa akili yako unadhani hawajui? Utaendelea
>> kushangaa sana.
>>
>> Ni "collective guilt conscience". Je atamshtaki nani, na hapo chama
>> kitabakije salama? Au atawashtaki wa Mwembe Yanga?
>>
>> Kwa mawazo yangu, watanzania wenye uwezo wa kutoa maamuzi, wachapa kazi,
>> wenye misimamo, wapo. Mathalan, Mawaziri wanaoitwa "machachari"(kwa viwango
>> vyetu vya utendaji kazi" sio watu wa siku nyingi serikalini. Kwa nini
>> tusifikirie ku "flash out" hawa ndugu waliokuwa serikalini tangu bado baadhi
>> yetu tuko sekondari. Leo tuna watoto ambao wako vyuoni, huku nchi ikiwa
>> haipigi hatua zozote kwenda mbele? Tunataka warejee ili wafanye nini ambacho
>> hawakupata fursa ya kukifanya?
>>
>> Kwa hilo la kukaa kimya, wanajuana. Baadhi wameshikilia sinia la wali,
>> wengine wana bakuli la mchuzi.Akimwaga mmoja, wanakosa wote!!
>>
>> MJL
>>
>> --
>> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
>> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>
>> --
>> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
>> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>
>
>
> --
> XAVERY LANGA NJOVU
>
> 0783 662681
>
> " IT IS MORE IMPORTANT TO USE YOUR MIND TO THINK THAN TO USE IT
> AS A WAREHOUSE OF FACT"
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
--
XAVERY LANGA NJOVU
0783 662681
" IT IS MORE IMPORTANT TO USE YOUR MIND TO THINK THAN TO USE IT
AS A WAREHOUSE OF FACT"
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment