Sunday 24 March 2013

Re: [wanabidii] Nafasi ya Tanzania Kombe la Dunia 2014 Brazil

Matinyi,
Napenda unavyojipa moyo.Lakini inawezekana kwani wao wana nini?
Ila ligi yetu ya ndani inatuangusha sana.Labda ujio wa AZAM na mipango yao twaweza kuvuka jamani.





Walewale.



From: Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
To: Mabadiliko <mabadilikotanzania@googlegroups.com>; Wanabidii googlegroups <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Sunday, March 24, 2013 8:00 PM
Subject: [wanabidii] Nafasi ya Tanzania Kombe la Dunia 2014 Brazil

Group C
Team MP W D L GF GA Pts
Ivory Coast3210727
Tanzania3201546
Morocco3021462
Gambia3012261
 
 
Msimamo hadi leo.........ni hapo juu. FIFA wanatuzungumzia kwenye baa zao zote leo.
Tanzania tunarudiana na Moroko hapo Juni 7, 2013. Tutachezea Moroko na tutashinda.
Baada ya hapo, tutacheza na Gambia kwao na Kodivaa Dar es Salaam. Tutashinda mechi zote.
Baada ya hapo kutakuwa na washindi wa makundi kumi, na tutapangiwa mshindi mmoja ili tukipige naye kwao na kwetu.
Tutashinda.
Mwaka 2014 tuko Brazili kwenye Kombe la Dunia na tutaishia robo fainali kwa uhuni wa refa.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


0 comments:

Post a Comment