Monday 18 March 2013

Re: [wanabidii] Kenya ina kiwese cha kuitosha kwa miaka 300

Sisi vp tunayo hata ya siku 10? maana nakumbuka miezi kadhaa iliyopita meli sijui ilifanyaje hapo bandarini, mitaani ikawa ni watu kukimbia na vidumu kila kona kutafuta mafuta!! bravo KENYA MNAJUA MNACHOFANYA, pamoja na mambo ya ukabila lakini mnachapa mwendo kwa kusonga mbele, sisi wenzenu wa TZ pamoja na amani iliyotukuka tunarudi nyuma kama mlevi, tumeacha kazi za maendeleo tunawaza upedeshee wa mwaka 2015.
 
  Utasikia kwenye vyama vyetu wanajitapa TUMECHAGUA TIMU YA USHINDI 2015!!! Ala! timu ya ushindi? mimi nilidhani mnachagua TIMU YA KUWAONDOLEA wananchi kero za maisha?
  Sasa hivi badala ya kufanya kazi ya kuliendeleza taifa na pengine tukune vichwa kuona ni wapi tunakosea mbona taifa haliendi limesimama sasa hivi tunapigana vikumbo KUUNDA MAKUNDI YA USHINDI, badala tufikirie ni jinsi gani tunaweza kujinasua na tatizo sugu la ukosefu wa umeme maana kila siku tunalala giza na shughuli za uzalishaji zinakwama tuko bize KUTAFUTA WALE WANAOWEZA KUTUZUIA TUSIPATE USHINDI ILI TUWADHURU!!
  Haiyamkini ni nani anajali hata kama kutakuwa na ukosefu wa umeme juma zima nani anajali, ukiyazungumza matatizo ya nchi utasikia wenye meno wanakuandikia wanakwambia TIMIZA WAJIBU WAKO! natimizaje wajibu kwenye giza? wao hawatimizi wajibu lakini wepesi wa kusema timizeni wajibu!
  Kila kitu ni kama kimesimama, tunashabikia kuleta vitu vile ambavyo bado hatunauwezo wa kuvisimamia, tumesema uwekezaji, wawekezaji tunawatafuta wenyewe wakifika tunawapa maki zetu viwanda vyetu kwa bei chee, kisa tunapewa asilimia kumi, baada ya hapo tukishapewa chetu haturudi nyuma kuuliza kama kile tulichompa kipo na kinafanya kazi, hakuna, utamuuliza nani na wewe unajua ulipewa ten pacent? una jeuri? ukiambiwa urudishe? matokeo yake si viwanda, si nini kwishinei!!!
 
   Nachelea kulifikilia taifa hili baada ya miaka kumi ijayo  litakuwaje!
   BRAVO KENYA kama mna mafuta ya kutosha miaka yoote hiyo mnasitahili sifa iliyotukuka hakika mnajua mnachofanya sisi WA TZ BADO TUNAJIFIKILIA  na PENGINE HATUJAANZA HATA KUJIFIKRIA TUNAANZAJE! viongozi wako likizo mpaka wameenda kula neema waliopewa na mungu ya kuzaliwa na kukulia na hatimae kutawala NCHI AMBAYO WATU WAKE HAWAJUI KUKATAA KITU! wakiishi gizani ni sawa kwao hiyo ni kazi ya mungu!, wakiishi miaka yoote bila maji sawa MUNGU NDIVYO ALIVYOOWAANDIKIA, wakiishi bila kazi poa tu ajira zenyewe mbona hakuna! wakibambikiwa kesi  sawa tu mbona magereza yamejengwa kwa ajili ya watu, mnataka fisi waje wakae? wakinyaganywa ardhi wakipewa mnaowaita wawekezeji sawa tu mbona ardhi ni mali ya serikali!
 BRAVO KENYA chapeni mwendo ila mkijisikia kutusubili mtusubili tunajitahidi kuwaamusha viongozi wetu ili na sisi tuanze safari lakini ni baada ya mwaka 2015 kwa sasa hivi bado tunaunda timu za ushindi baada ya mwaka huo ndo tutaanza kuunda timu za safari za maendeleo.
 


 
On Mon, Mar 18, 2013 at 5:49 PM, Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com> wrote:

Monday, 18 March 2013

Kenya's oil deposits can run her for 300 years

An oil Rig: Drilling to cost more 

JUST HOW MUCH oil deposits could there be in Kenya ? 
According to analysis by the prospecting companies,Tullow oil and Africa oil of Canada, perhaps enough to run the country for 300 years.  Or enough to run the us for 18 months. 

Bloomberg reported that the two oil drillers, who first discovered oil in Kenya's rift valley basin only last year, now say the 450 KM long basin could hold 10 billion barrels- enough to run Kenya for 300 years!

And along the Coast basin estimates say, there another three or so billion barrels of oil and Gas.

Consequently, the oil drillers are planning to drill 11 test wells in kenya this year. And remember they are also drilling  wells in Ethiopia. Like  kenya, Ethiopia was deemed a barren land as far oil production is concerned. However, now that outlook is changing with discovery of oil in kenya's rift valley.

We are running out of metaphors. Now try to figure out where the oil production in Uganda; South Sudan and Ethiopia would place Kenya. According to analysts, right in the centre of the action. In 10 to 15 years, Kenya will be "the oil hub of eastern Africa,"they say. 

Why? Figure this: Uganda will soon begin production of its 1 billion barrels of oil in Lake Albert, South Sudan wants to shift her 350,000 bpd out away from Sudan  and what if Ethiopia also found some oil?It will all be transported to the world through Kenya, perhaps through Lamu.

 Bloomberg reported that Uganda is considering an Oil pipeline from its wells in Lake Albert in Western Uganda  to a Kenya port.  D.R. Congo, is also  said to be considering going east to export their oil through Kenya. This makes the Lappset Corridor in Kenya,  which was a mouth watering prospect just a few months ago, a staggering one.

Toyota Tsusho, the investment arm of Toyota  motor Corporation has placed its US$5 billion bid to build an oil Pipeline from Lamu Port in Kenya to the oil wells in south Sudan  with a possible extension to Uganda and Ethiopia. Read http://eaers.blogspot.com/2012/08/toyota-bids-for-africas-largest-ppp_20.html
And Kenya would become the energy hub of Eastern Africa.

Nearly a year ago, we published an analysis on the prospect of an oil and Gas discovery in east Africa.  We were upbeat then and still-for lack of better word- are. We stand by that analysis but we lack the tools to explain the exponential prospects of finding 10 billion barrels of oil  in Kenya.  No one has for now.  Read http://eaers.blogspot.com/2012/04/oil-and-gas-wealth-in-east-africa-boon.html

A month  month ago, we termed the news that the oil find was commercially viable" a game changer for kenya." Yet we were only talking about 2850 bpd - a drop in the ocean? Maybe smaller. 

Apart from the potential macro-economic gains, the news has immense development benefits in Kenya. Among these gains are potential forex savings, low general prices and larger profits for the business sector.

According official sources, in the year to November 2012, Kenya spend a staggering US$2.105 billion importing 21.7 million barrels of crude oil. Although the commercially viable output is still a drop in the ocean, the prospect of cutting this this bill significantly is exciting to Kenyans.

In January, the Oil industry intelligence publication, oil.com, www.oil.com branded Kenya a hot spot for oil exploration. It seems now the spot will get fiery as more aggressive drilling activity sets in in the near future.  
 The gains of oil will begin long before Kenya produces the first barrel, three years down the road. A local business publication reported last November that oil and Gas exploration brought in US$1.2 billion in FDI. This figure is expected to rise as more players are expected to bid for a piece of the action. Nineteen exploration blocks are said on the table for auctioning this year. 

 Lapsset Corridor: Potential for expansion.
The rules of the game too have changed  as kenya  plans to gains more from oil exploration activities. To qualify for award of exploration rights, firms applying for new acreage from this month will be required to commit to spending $28.2 million in the initial two years onshore and $31.2 million offshore in the first three years.

A new term sheet by the Ministry of Energy details the minimum work and exploration obligations, the mechanism for firms to recover money spent on exploration if commercial oil discoveries are made and profit sharing with the government.


Energy Permanent Secretary Patrick Nyoike said production-sharing contracts (PSCs) will be signed with firms that agree to pay $1 million as one-off commitment fee for an exploration area, reported the East African.

In addition to savings and FDI generation, the oil prospect raises the potential of some projects that were treated with muted pessimism. The greatest beneficiary of this development will definitely be LAPSSET corridor.

The US$23 billion Lamu Fort - South Sudan- Ethiopia Transport Corridor (Lapsset), is the biggest business venture ever to be undertaken in east Africa and probably beyond. It is a combination of five ventures that were juicy even before the discovery of Oil in the project's path. Now they will be mouthwatering as the returns are attractive ranging between 14 per cent and 24 per cent for some of the projects.

LAPSSET that will serve an estimated 100 million People in Northern Kenya, Ethiopia and South Sudan comprises of: 1,710 KM of standard Gauge railway line; 880 KM of a standard highway, 1260 KM of crude oil pipeline, 980KM of white oils pipeline, a 120,000 bpd refinery and a 32 berths sea port and two international airports.   But it appears set to extend beyond its current borders- atleast, the railway line and the oil pipeline.

http://eaers.blogspot.com/2013/03/kenyas-oil-deposits-can-run-her-for-300.html

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment