Isack Mchungu, Ni kweli kama ilivyotokea kwa Sheikh Ponda. Walewale.
From: isack mchungu <isackmn1965@gmail.com> To: wanabidii@googlegroups.com Sent: Wednesday, March 20, 2013 8:35 AM Subject: Re: [wanabidii] Joseph Ludovick Akamatwa kwa Tuhuma za Kumteka na Kumtesa Absalom Kibanda Labda mimi ndo sijui sheria, ila najua upelelezi kutokamilika hakufanyi mtu akose dhamana, na unaweza kupewa dhamana ukiwa chini ya polisi wakati wakiendelea na upelelezi, n,lakini hii inategemea aina ya kosa. 2013/3/19 Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> Wengine wapo kwa ajili ya propaganda na kujaribu kukinusuru chama chao kinachokufa yaani ccm 2013/3/19 Kenneth Masuki <kennymasuki@gmail.com> Ndugu Wanabidii
Mie bado sijaelewa kuwa kwanini Lwakatare kutokana na subjest ya email hii anatuhumiwa kuhusika na kudhuriwa kwa Kbanda lakini taarifa ya kufikishwa kwake mahakamani inamuhusisha na kupanga njama za kumdhuru Msacky, je kuna uhusian gani kati ya Kibana na Msacky? Na kwanini inadhaniwa kuwa Kibanda kavamiwa kwa mipango ya Lwakatare? Tafadhali mlio huko Bongo hebu tujuzeni kwa kina zaidi
Ken 2013/3/19 Ephata Nanyaro <nanyaro04@gmail.com> Tony,Ezekiel $ Co Nyie hatan kuamini kwenye mnachopost hapa hamkiamini,nyie wenyewe hasa Ezekiel kwa maandishi yako unaonekana kuwa una uhakika kuwa Lakwatare ana makosa tayari,hata kabla ya kuhukumiwa na mahakama,ndio maana mnataka CHADEMA imkane Lwakatare eti kama Majidi Mjegwa alivyofanya kwa Ludo,huu ni wendawazimu Lwakatare au Ludo hawana makosa hadi hukumu ya mahakama,kwa kuwa nyie mpo kwenye chama tawala,hamjui gharama ambazo baadhi yetu tunalipa kwa kuwa tunataka mabadiliko,mtambue kuwa kwa sasa hatuogopi huko gerezani,hakuna voitisho,hila,au silaha yeyote itakayozuia mabadiliko, 2013/3/19 James Patrick <mimiwewetz@gmail.com> Bwana Gikaro,
Sheria inasema mtu anafikishwa mahakamani baada ya upelelezi kukamilika, unapokamatwa maana yake unatuhumiwa, baada ya hapo lazima upelelezi ufanyike ili kujiridhisha na tuhuma, baada ya hapo ndipo unafikishwa kwa pilato, sidhani kama kukaa na mtuhumiwa 96hrs ni kosa 2013/3/18 Gikaro Ryoba <rgikaro@yahoo.com> Kisheria mtuhuniwa anapaswa kufikishwa mahakamani 24 hrs after being arrested. Polisi wamemshikilia Lwakatare kwa siku nne mfululizo (96hrs) bado huoni kwamba sheria imekiukwa? Ama kweli mwalimu wako wa sheria kipofu!
Tony PT Mbinu zao zimejulikana sasa wanahaha kila mahali. Nasikia wengine wamehama mjini. Kama kweli walikuwa wanatenda haki kwa nini waogope hivyo? Kibaya zaidi wamewatupia akili watoto wetu mambo machafu ya kutosikiliza bali fujo tu kumbe wao ......... inatia uchungu sana. Wauane wao wenyewe watuachie watoto wetu na Tanzania yetu yenye amani. Sent from Yahoo! Mail on Android | EK
Nasikia habari zisizo rasmi kuwa hata ZKabwe amekoswakoswa kutekwa, akasepa! Ndio mambo yao hayo!
------Original Message------ From: ezekiel kunyaranyara
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.comSubject: Re: [wanabidii] Joseph Ludovick Akamatwa kwa Tuhuma za Kumteka na Kumtesa Absalom Kibanda Sent: Mar 18, 2013 13:36
Muganda, Tuko pamoja.
Sent from Yahoo! Mail on Android
From: Emmanuel Muganda < emuganda@gmail.com>; To: < wanabidii@googlegroups.com>; Subject: Re: [wanabidii] Joseph Ludovick Akamatwa kwa Tuhuma za Kumteka na Kumtesa Absalom Kibanda Sent: Mon, Mar 18, 2013 10:31:27 AM Ezekiel, Nakungwa, bayebhu! em 2013/3/18 ezekiel kunyaranyara < ekunyaranyara@yahoo.co.uk> Muganda, Katika hili, kama ni hisia basi CDM ni wa kwanza kuendeshwa nazo na wala si upande wa pili. Washauri wajione kama binadamu yeyote kwamba anaweza kufanya makosa kama wengine siyo kujiona kuwa wao ni malaika na wala hawasemwi na hawaguswi. Hawataki kuelekezwa wala kushauriwa, wamesoma sana kuliko wote wasio wa CDM. Yaani kama wewe si mwana CDM basi hata elimu yako bure, mtizamo wako bure, fikra zako zimepitwa nawakati, huna jipya...... orodha ni ndefu, jambo ambalo si kweli kabisa jamani. Sisi wote ni watanzania hawa hawa wala hakuna Mtanzania sana na mtanzania kidogo. Hapo ndipo walipofikia kama wangekubali kusemwa na kushauriwa na watu wasio wataka basi wangeweza hata kujirekebisha na huwenda hata haya tusingeyaona kabisa. Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na dunia. Muganda, kuna methali ya kijita inasema kwamba " Imbwa inyifi niyo eigura omugongo gwayo..." K.E.M.S. From: Emmanuel Muganda < emuganda@gmail.com> To: wanabidii@googlegroups.com Sent: Sunday, 17 March 2013, 11:08 Subject: Re: [wanabidii] Joseph Ludovick Akamatwa kwa Tuhuma za Kumteka na Kumtesa Absalom Kibanda Laurean, Wengine wanaendeshwa zaidi kwa hisia badala ya hali halisi. Tumeshahukumu wapinzani kuwa wanatishia amani yetu, wakati amani hii imepokwa na mafisadi na majambazi ndani ya CCM. Hilo hatuoni. em On Sun, Mar 17, 2013 at 1:58 PM, Laurean Rugambwa < rugambwa@hotmail.com> wrote: Duh, Yaani Ezekiel unamhukumu Mtu hata hujui mashitaka yake Ni nini? Ikiwa sio kweli Na wewe umeisha muita majina humu? Maana lazima yawe proven beyond reasonable doubt! There is a reason for this old settled principle. Hata angekuwa ametenda; there is a presumption of innocence for everyone under an Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Vodacom Tanzania. -- Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.comInternational Jobs - www.jobsunited.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+ unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+ unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. | -- Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.comInternational Jobs - www.jobsunited.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
-- Ephata Nanyaro P.o.box 15359 Arusha +255 754 834152 Skype.nanyaro.ephata -- Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.comInternational Jobs - www.jobsunited.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. -- Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. |
0 comments:
Post a Comment