Monday 11 March 2013

Re: [wanabidii] Jeshi la Polisi mkoani Kagera limefanikiwa kuwaua majambazi saba

Dawa ya kuwadhibiti hawa warundi ni kuwa-shoot on the spot iwapo wanahisiwa kujihusisha na ujambazi. Naona wametuzoea kama nguo ya ndani.

LL

2013/3/11 Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Na Frank Geofray-Jeshi la Polisi, Kagera.*

Jeshi la Polisi mkoani Kagera limefanikiwa kuwaua majambazi saba
wakati wa mapambano makali ya kurushiana risasi na Askari wa Jeshi la
Polisi wakati majambazi hao walipokuwa katika harakati za kuvamia
mgodi wa Tulawaka ambapo baada ya kupekuliwa walikutwa na bunduki
mbili za kivita aina ya SMG, mabomu matatu ya kurusha kwa mkono,
risasi 156, magazine tano, simu mbili pamoja na fedha za Burundi franc
800.

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment