Sunday 13 January 2013

[wanabidii] "Something Necessary".. Filamu ya mauaji wakati wa uchaguzi Kenya

Miaka kadhaa imepita baada ya Kenya kukumbwa na balaa la machafuko yaliyopelekea vifo vingi vya watu, majeraha ya kudumu na watu wengi kukosa makazi yao baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 (post election violence). Wasanii wa maigizo nchini humo wameshafanya filamu inayohusu matukio yaliyotokea wakati huo na filamu inaitwa "Something Necessary".

Videko hapa; http://goldentz.blogspot.com/2013/01/something-necessary-filamy-ya-mauaji.html

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment