Mwanaharakati wa mambo ya uhuru wa mitandao aliyeanzisha mtandao unaoitwa "Guerrilla Open Access Manifesto" na mwanzilishi wa RSS na mwanzilishi wa reddit.com amejiua.
Akiwa na miaka 14 tu Aaron Swartz alianzisha program inayojulikana ka RSS (Rich Site Summary) (au wengine wanaiita Really Simple Syndication) Hii ni proram ambayo hutumika hadi leo kuwawezesha watumiaji wa Internet na bolgs kukopi,Habari zaidi na picha; http://goldentz.blogspot.com/2013/01/mwanaharakati-alieanzisha-vita-vya.html
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment