Monday 28 January 2013

Re: [wanabidii] Re: Sitta: Nafaa kuwa Rais

Isango umesema
 
Japo umenitosha kuhusu kifo cha kizushi ya Gavana wa bot mh Balali

2013/1/28 Josephat Isango <joseisango@yahoo.com>
Dr. Hamis Kigwangala, niseme kwa leo inatosha, tusimkatishe tamaa Samweli Sitta, ingawa Chama chenu hakieleweki mtampa matumaini mnasubiri achukue fomu mje mseme mnataka Mwanamke, na wewe bado una furaha kwa kuwa hujajeruhiwa. Ulimshika faru makalio akakusamehe. CCM ambayo wewe ni Mbunge ndiyo iliyomfikisha Mahakamani Ole sendeka kwa sakata la Millya na ndiyo iliyokuacha wewe na Bashe. ndio iliyoruhusu Sitta achukue fomu agombee Uspika mkasema mnataka zamu ya Mwanamke, Ndiyo iliyoruhusu Richmond ichunguzwe na kuiondoa hoja bungeni, ndiyo iliyoanzisha udini na sasa tunataka kuwekeana chuki, ndiyo inayofungua mashtaka na kuyafuta, ndiyo inayobambikiza kesi kama ilivyotumia gazeti la Serikali la Habari Leo kusema MwanaHalisi lisifunguliwe kwa kuwa liliandika habari za kushawishi wanajeshi waasi, Utala huo tumeshaanza kuuzoea. Ndio Utawala makini unaoandaa viongozi.... nikushukuru tu mimi na wewe tusali Mungu atuweke salama, ipo siku utaniambia nilisema ukweli. Mungu akubariki Bungeni ukapokee posho ila uulize akina nani walihudhuria msiba wa Balali, na kwanini hata Bunge halikutuma Mwakilishi, au kati ya mihimili yote nani alihudhuria kuwakilisha, kama hakuna Mwakilishi omba serikali ikupe majibu.

--- On Mon, 1/28/13, hkigwangalla@gmail.com <hkigwangalla@gmail.com> wrote:

From: hkigwangalla@gmail.com <hkigwangalla@gmail.com>

Subject: Re: [wanabidii] Re: Sitta: Nafaa kuwa Rais
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, January 28, 2013, 12:01 AM


Isango, demokrasia inaniruhusu kusema ni nani. Namsupport na nani simsupport. Wakati wangu ukifika nitasema ila kwa sasa itoshe tu kusema kwamba 'huyu ni miongoni mwa watu makini ndani ya Taifa letu na kama atagombea kwa vyovyote vile atasumbua na. Kwangu binafsi atanipa taabu kufanya maamuzi ya kuchagua kati ya watu wangu wengine wawili, ambao tayari nimeishakuwa nikiwashawishi wagombee, mara kadhaa na mpaka sasa hawajafanya maamuzi.' Kama Mzee SS naye ataingia nitapata kazi kuchagua, na si mimi peke yangu tu, ni pamoja na ile timu yetu tuliyounda mwaka jana kwa ujumla wake! Wewe utafunguka ukipenda na kwa wakati wako, utakuwa umetumia vzr tu haki yako ya kidemokrasia. Na Sisi tutatumia haki yetu kukupinga ama kukuunga mkono hoja yako! Binafsi ninavyoona 'anafaa' kuwa Rais lakini najua atawaunga mkono vijana wake watatu ninaowafahamu lakini kama chama kikitaka kumtumia kwa miaka hii mitano (kama ambavyo amekuwa akisema yeye mwenyewe), basi atawafuta kabisa upinzani kwa kushinda kwa kishindo siku jina lake likitangazwa, maana anakubalika sana!
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

From: Josephat Isango <joseisango@yahoo.com>
Date: Sun, 27 Jan 2013 23:45:09 -0800 (PST)
Subject: Re: [wanabidii] Re: Sitta: Nafaa kuwa Rais

Asante Kigwangala, Daktari kwa kuonyesha uwezo wako umeanzia wapi na unaishia wapi? Unashindwa kuwa mkweli kwa kuwa unatoka Mkoa Mmoja na Sitta? Tueleze sakata la Richmond liliishaje? Machakato wa kuilipa Dowans na kauli za Sitta, na hasara ambayo taifa linaingia sasa kwa sababu ya ushauri wake. Hatusemi sana, wakati wa kufunguka unakuja tutasema. Wewe endelea kuonyesha uwezo. Safi sana!

--- On Fri, 1/25/13, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com> wrote:

From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Re: Sitta: Nafaa kuwa Rais
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, January 25, 2013, 3:01 PM

Katika wanasiasa wachache waliopo huyu Mzee vana kiwango cha juu sana cha kuwa 'honest'...akigombea atawasumbua sana wenzake...ana akili nyingi sana huyu Mzee. Atanipa taabu kuchagua baina yake na wengine wawili ninaowapenda, kama watajitokeza nao ofcoz...


2013/1/25 Said Issa <saidissa100@yahoo.com>
Fredy, uyasemayo ni kweli.
Yatamkuta, kwasababu kwanza safari hii urais ni zamu yetu Wazenj.
Pili, tumesahau jamani mara ile nini alitueleza Dr Slaa juu ya Sitta?
Hebu jamani tujikumbushe kidogo kabla hatujamtaja tena huyu Nd. Sitta kwa position ya urais wa nchi yetu tukufu:


...bin Issa.


From: Fredy Lema <fredylema@yahoo.co.uk>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, January 25, 2013 2:39:41 AM
Subject: Re: [wanabidii] Re: Sitta: Nafaa kuwa Rais

Yaliyomkuta katika uspika katika chama chake kwa karata ya mwanamke yatamkuta pia kwenye uraisi sijui amejiandaaje na hilo.

From: Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
To: Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, 25 January 2013, 9:40
Subject: [wanabidii] Re: Sitta: Nafaa kuwa Rais

Asububiri mchakato wa kumpata mwakilishi wa chama chake akajieleze ,
wamkague , vyombo vya ulinzi na usalama vimkubali .

On Jan 25, 8:45 am, Fred Alphonce <fredrick197...@yahoo.com> wrote:
> SOURCE http://www.mwananchi.co.tz/habari/Siasa/-/1597332/1674756/-/bo3nriz/-...
> WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta amesema kwamba anazo sifa za kuwa Rais wa Tanzania na anafikiria kugombea 2015, iwapo dhamira yake itaridhika na mazingira na upepo wa kisiasa wa wakati huo.
> Akizungumza katika mahojiano maalumu na gazeti hili juzi, Sitta alitaja mambo kadhaa aliyoeleza kuwa ni ishara ya kukubalika kwake, ikiwamo kuteuliwa na marais wote wanne; Julius Nyerere, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete katika nyadhifa mbalimbali ikiwamo ya uwaziri.a
> Kauli ya Sitta imekuja baada ya kuwapo kwa minong'ono ya baadhi ya wananchi kumtaja kuwa miongoni mwa watu wanaoweza kujitokeza kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.
> "Ni faraja kusikia watu wakinizungumzia kuwa ninazo sifa (za kuwa Rais). Nami ninaamini ninazo sifa. Wakati utakapofika nitajipima. Kama hali hii itaendelea, basi nitaona ni vizuri nigombee," alisema Sitta ambaye aliwahi kuwa Spika wa Bunge.
> Hata hivyo, alisema hana mkakati wowote sasa wa kuendesha harakati za kutafuta nafasi hiyo kwa udi na uvumba kama baadhi ya wengine (bila kuwataja), wanavyofanya... "Sina sababu za kuanza kutafuta support (kuungwa mkono) wala uundaji wa kamati za ushawishi kwa watu sasa," alisema Sitta.
> Badala yake alisema atasubiri hadi muda wa kuchukua fomu za kugombea utakapofika ndipo atakapojitathmini na kusema endapo atabaini kuwa Watanzania wengi wanamuunga mkono, atachukua uamuzi wa kujitosa kwenye kinyang'anyiro hicho.
> Aitahadharisha CCM
> Waziri huyo aliwahadharisha wanachama wa CCM kwamba wasipokuwa makini, wanaweza kuipoteza nafasi hiyo ya urais na kwenda kwa vyama vya upinzani.
> Alionya kuwa iwapo watamteua mtu asiye mwadilifu, Watanzania hawatamchagua na badala yake watampa nafasi hiyo mgombea yeyote kutoka vyama vya upinzani.
> Alisema Watanzania wengi wana werevu wa kutosha kujua watu ambao ni mafisadi na ambao wamekuwa wakitumia fedha zao chafu kwa ajili ya kutaka wakubalike mbele ya macho ya Watanzania. Alisema suala la uadilifu ni moja ya vigezo muhimu ambayo CCM wanapaswa kuvizingatia ili kupata ushindi wa kiti cha urais mwaka 2015.
> "Ndiyo maana nilipokuwa mbele ya Tume ya Kukusanya Maoni ya Katiba niliweka wazi kwamba Tanzania tunahitaji kuwa na jopo la kuhoji viongozi na wananchi wawe na fursa ya kuwachambua," alisema Sitta.
> Alisema kinachohitajika Tanzania ni mfumo ambao utajenga mazingira ya kuwa na viongozi waadilifu katika ngazi zote.
> Alisema hali hiyo itaepusha mfumo unaoonekana sasa wa viongozi kwenye ngazi mbalimbali kuishi kiujanjaujanja, kujinufaisha na kutojali athari kwa uchumi wa nchi na Watanzania kwa ujumla.
> Alitoa mfano wa uzembe uliofanywa na viongozi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), ambao umesababisha Bandari ya Dar es Salaam kupoteza uaminifu kwa nchi mbalimbali zinazopakana na Tanzania.
> Alisema uzembe huo umeifanya Bandari ya Dar es Salaam kuingiza Sh38 bilioni kwa mwezi tofauti na Mombasa ambayo inaingiza Sh300 bilioni.
> CCM ni imara?
> Akizungumzia miaka 36 ya kuzaliwa kwa CCM, mbunge huyo wa Urambo Mashariki alisema anaamini kwamba chama hicho kimefanya vizuri licha ya kuchafuliwa na watu wachache kutokana na tabia zao za ufisadi.
> Alisema CCM kinakubalika kutokana na sera zake, lakini pia sifa za kada mmojammoja zinawavuta Watanzania wengi kwenye chaguzi mbalimbali.
> Alitoa mfano wa CCM kuendelea kuwa na wabunge wengi, alisema hali hiyo inatokana na wale wanaogombea kuwa na heshima ya kipekee kwa jamii.
> "Ninaamini CCM bado itaendelea kuwa na wabunge wengi japo imetetereka wakati fulani kutokana baadhi ya makada kutuangusha," alisema Sitta.
> Alisema anaamini kuwa sasa CCM itajisafisha na kuondokana na sifa hiyo mbaya kupitia uongozi wa sasa ambao wamepewa jukumu la kukirejeshea heshima.
> Rushwa kwenye chaguzi
> Akizungumzia kuhusiana na rushwa kwenye uchaguzi, Sitta alisema ipo haja ya sheria kuweka wazi suala hilo kutokana na kuingiliana na ukarimu wa kawaida ambao ni utamaduni ya Waafrika kutafsiriwa kama ni kosa.
> Alitoa mfano wa mgombea akipata wageni nyumbani kwake asubuhi na ikabidi aandae chai nyingi kuwatosheleza waliomtembelea, inaweza kutafsiriwa kuwa ni rushwa. Hata hivyo, alipinga baadhi ya watu wanaotaka wagombea waidhinishiwe kutoa usafiri kwa watu wanaokwenda kwenye mikutano yao.
>
> Fred
> MATURITY does not come with age, it begins with acceptance of Responsibility
> Change is Essence to maturation

-- 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 



--
"Vision is the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782 636963
website: www.peercorpstrust.org or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group, send email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group, send email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group, send email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment