Friday 18 January 2013

Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Picha ya Nyerere yarejeshwa mjengoni AU

Matinyi kuitoa picha ya baba wa TZ, actually Baba wa SADC na baba wa Afrika sio ajabu, hata katika sikukuu ya ukombozi wa Afrika kusini, serikali ya Afrika kusini ilitaja mataifa na watu waliowasaidia kulikomboa taifa lao JK Nyerere hakutajwa!!!!

Babo sisi ni watumwa halisi wa westerners, mzee, ndio maana hata leo hii waafrika wenyewe hatumpendi Kagame, tunafundishwa kuchukiana na kubaguana na tunafanya hivyo kwa manufaa ya westeners (wazungu / Makaburu)
 

On Wed, Jan 16, 2013 at 9:55 PM, idriss kempanju <kimdr53@gmail.com> wrote:


   Matinyi I totally agree with you, this is the honourable way to remember those who contributed a lot in the liberation struggle for Africa. Mama Zuma recognizing that especially being a South African,Tanzania did a lot for the liberation of Southern Africa, South Africa in particular and Africa as a whole. Not including Mwalimu`s portriat at headquarters of African Unity was a big omission and it is right thing to re-instate it.
   Thank you.
                           Idriss Mussa

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment