Huu i mwanzo tu lakini yapo maeneo mengi ambayo yanashughuli za aina hii
zinazowachanganya wananchi, mfano: madini yanayochimbwa hapa nchini
yanaenda ku processiwa wapi, na je kama huko kuchakatwa kungefanyika
hapa nchini vijana wetu wasingepata ajira? viongozi wetu wabadilike kwani kama
ni kuwavumilia tumewavumilia vya kutosha na tayari tunaanza kuamka.
From: heri rashid <herirashid@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Saturday, January 19, 2013 2:28 PM
Subject: Re: [wanabidii] Re: MAANDAMANO MAKUBWA MTWARA - 19.01.2013
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
zinazowachanganya wananchi, mfano: madini yanayochimbwa hapa nchini
yanaenda ku processiwa wapi, na je kama huko kuchakatwa kungefanyika
hapa nchini vijana wetu wasingepata ajira? viongozi wetu wabadilike kwani kama
ni kuwavumilia tumewavumilia vya kutosha na tayari tunaanza kuamka.
From: heri rashid <herirashid@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Saturday, January 19, 2013 2:28 PM
Subject: Re: [wanabidii] Re: MAANDAMANO MAKUBWA MTWARA - 19.01.2013
Kwa maoni yangu, Suala la gas Mtwara huenda hatujalifahamu! Inasafirishwa kwenda Dar kwa ajili ya nini? na kwanini Dar na si sehemu nyingine? Kwani hakuna njia nyingine ya kusafirisha hadi tutumie mabomba? Bandari ya Mtwara itapanuliwaje wakati rasilimali kama hizi zingetumika kuipanua. Tusishabikie maneno ya wanasiasa waliofisika kimawazo na wanaoona kila kitu kiwe Dar. Mawazo yangu Mitambo ya kusafisha ijengwe palepale Mtwara, gas itoke pale ikiwa tayari kwa matumizi sio crude ikasafishe Dar. kwa kufanya hivyo tunafanya maeneo mengine kuendelea na mengine kubaki gizani. Hii ni fursa ya kufungua maeneo ya kusini ambayo kwa mda mrefu yamesahaulika. Tusitishiane kuwa wawekezaji watakimbia, watakaokimbia hawako serious na uwekezaji. --- On Sat, 1/19/13, nchunguye festo <nchunguye1971@yahoo.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment