Friday 25 January 2013

Re: [wanabidii] MTWARA NYUMBA ZACHOMWA - KISA GAS!

Hiyo ni gesi, tukipata na Mafuta itakuwaje? Wananchi wa Mtwara fikirieni tena maamuzi yenu, fujo na kuharibu mali za watu  sio utamaduni wenu.

Mungu atuepushe na balaa hili maana Al shabab nao wanaweza jipenyeza humo humo.

Sent  from my iPhone 





On Jan 25, 2013, at 21:08, Sylvanus Kessy <frkessy@yahoo.com> wrote:

Wanabidii
Niwajuze kuwa hali inaendela kuwa tete katika mji wa Mtwara. Barabara zimefungwa, Magari yamemomwa moto, Ofisi ya CCM imechomwa na Nyumba ya Waziri Hawa Ghasia nayo imo. Kisa ni GAs. Je hii neema ama Balaa. Mbona mwanzo tu?

Yarabi salama tunakwenda wapi. Serikali iingilie kati!

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment