Hiyo ni gesi, tukipata na Mafuta itakuwaje? Wananchi wa Mtwara fikirieni tena maamuzi yenu, fujo na kuharibu mali za watu sio utamaduni wenu.
Mungu atuepushe na balaa hili maana Al shabab nao wanaweza jipenyeza humo humo.
Sent from my iPhone
--WanabidiiNiwajuze kuwa hali inaendela kuwa tete katika mji wa Mtwara. Barabara zimefungwa, Magari yamemomwa moto, Ofisi ya CCM imechomwa na Nyumba ya Waziri Hawa Ghasia nayo imo. Kisa ni GAs. Je hii neema ama Balaa. Mbona mwanzo tu?Yarabi salama tunakwenda wapi. Serikali iingilie kati!
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment