Tuesday 8 January 2013

Re: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani


Hilda

Mbunge ni Mkristo na alienda kama Waumini wengine

Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thu, 3 Jan 2013 13:18:18 +0000 (GMT)
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani



Kwani Uislamu si umeletwa na nani hata usilinganishwee hivyo si na Waarabu? Ndio maana wengine huchanganya dini hiyo  na waarabu. Ukristu umeletwa na wazungu na lugha ya kusalishia mfano ukatoliki ulipoanza ni kilatini. Wazee wa zamani walipata sana tabu kuzoea kusali kwa kiswahili lakini mataifa yakaja kubadili kusali si kilatini tena kwa lugha zao na vitabu vipo vya kilatini-kiswanili upande mwingine; vya kiingereza; kuna kihaya tupu vitabu vya dini na misa Kihaya. Inategemea upo wapi-Ufaranza utasali kwa lugha yao na Uingereza kuna makanisa ya RC yanasalisha Kilatini na baadhi mix kiingereza na kilatini. Unaweza ukaamua utasali misa ya kilatini tupu hapa TZ  au ya Kiswahili au ya lugha ya Kiingereza hapa DSM ktk makanisa mbali mbali yafanyayo hivyo. Sidhani kama ipo hivyo kwa waislamu kusali kwa lugha ya nje ya ya Kiarabu ilivyo ktk Quran.

Ni akili finyu za kutokukubali mchanganyiko wetu ulivyo. Kuna tabu gani kuitikia salam ya Mbunge ya " Assalamu Alaikum "- "Alaikum salaam" halafu akasema 'Kristu ! ". Tumaini Letu au Bwana Yesu Asifiwe-Amen!! Kwanza amewaheshimu, amewajali, amewapenda na ndio maana amekubali kuingia kanisani kukaa mpaka misa kuisha naye muislamu. Hata wakati wa mazishi ya mfanyakazi mkristu, au sherehe ya ndoa, kufiwa nduguye na mazishi-waislamu mbona huingia kanisani na kuhudhuria vyote mpaka makaburini au ktk hli la arusi. Vile vile-kuna familia kuna mchanganyiko wa dini huingia kanisani, akikosea anarekebishwa. Wengine hudhania anaweza akaongozana na wengine wanapokwenda mbele kupokea mkate wa Bwana nao wanainuka. Jamaa zao huwaambia hapana wewe usiende lakini alikwenda kupeleka hela yake ya sadaka wakati wa miza hiyo ya sherehe au mazishi. Wapo wanaotaniana tunawaona na kuitikia-Alaikum Muislamu!! Tena husema-Aleko Muislamu!! wengine wakadhani hii ni formal response kumbe sio. Upungufu wa uvumilivu, kutokuzikubali tofauti zetu na kukubali mtu anaweza kukosea au akaanza na salamu aliyoizoea na kisha kuja ya wenye dini hiyo ni kitu cha kawaida. Kuzomewa ni mapungufu ya hao wakristo ambapo dini yao inavundisho kuu la Upendo na Uvumilivu. Inaweza kuwa inatokana na haya matendo ya sasa ya kuchoma makanisa na kupika risasi wakristu. Kwa udini hata shule nyingine wanafunzi wanahama kwani akivaa rosali au tasbihi haitakiwi. Picha ya uniform au T-shirt iwe ya kidini. tatizo kumtaka mtu awe perfect kwa dini yako asikosee hata kidogo bali awe mkristu au muislamu  akija katika tafrija yako-Sio proper. Mradi tu hakukudharau kwa makusudi, atajifunza akielekezwa. Muandae vizuri mgeni wako asikosee. Unawajibika nawe pia.

--- On Thu, 3/1/13, Lemburis Kivuyo <lembu.kivuyo@gmail.com> wrote:

From: Lemburis Kivuyo <lembu.kivuyo@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, 3 January, 2013, 12:29

Salim ni sawa salamu ni ya kiarabu

Nakumbuka kuna Mchungaji Mmoja kutoka Uarabuni kati ya Saudia au Oman. Akiwa na mavazi yake ya kiarabu, yaani kanzu jeupe akatoka kwenda kutembea na kufanya window shopping kidogo pale Morogoro miaka ya nyuma kidogo. Kupita kwenye duka moja akakutana na sheghe mmoja akamsalimia " Assalamu Alaikum " Sheghe akajibu "Alaikum mwislam" badala ya "Alaikum salaam".

Alishangaa sana jinsi huku TZ tunavyochanganya Uislamu na mila ya Kiarabu

Hata hivyo hali ni bado iko hivyo mpaka leo. Watanzania ambao sio wasilamu wanajuaga kuwa Assalamu Alaikum ni salamu ya Kiislamu. Hivyo ni vyema Henry Shekif angesoma ramani kwanza kuliko kwenda kwa kukariri


Real Change for Real Development,  

Lemburis Kivuyo
+255654650100/078 7665050/0755646470
Website: www.kivuyo.com,  Skype: lekivuyo, Facebook: http://facebook.com/lemburis.kivuyo, Titter: http://twitter.com/lembu1, Linkedin: http://tz.linkedin.com/in/lembukivuyo, Google+: gplus.to/lembukivuyo


2013/1/3 Reuben Mwandumbya <ipyana75@yahoo.com>
Salim;
Katika uhalisia Shekifu kakosea,alitakiwa kusoma mazingira asikwaze wengine.
Salamu hii ni ya Kiarabu hata kama maana yake kwa kiswahili ni Jambo lakini haikutakiwa pale,then bado kachanganya dawa zinazoripuka.
Pamoja na kwamba wapo Waarabu Wakristo ukweli unabaki kwamba sio asili yao,inawezekana walislimu kama wengine wanavyofanya
 
Reuben

Sent: Wednesday, January 2, 2013 11:08 PM

Subject: Re: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani

Sikuwepo, labda ilikuwa Swaumu hiyo nyingine lakina alikuwa na Sheikh Ramia Bagamoyo na kichwa kilimuuma sana siku hiyo na pia hapa nam "quote" yeye mwenyewe kwenye hotuba zake; ukipenda kusikiliza utasikia.
Lakini sikuwa na maana ya kuchanganya hoja na Swaum; tuseme nimekosea. Vipi kuhusu hiyo Salaam? Maana ndo hoja nilochangia kuna mtu alisema ya kijinga na upumbavu...

2013/1/3 Reuben Mwandumbya <ipyana75@yahoo.com>
Salim usitupotoshe tafadhali;
Au labda upe ufafanuzi swaum unayoongelea hapa ni ipi?kama ni ya Kiislamu hutakuwa sahihi.
Hata Wakristo tunafunga na tunakuwa na swaumu wakati wa mfungo wetu kipindi kuelekea PASAKA.
So dont mix up issues.
 
Reuben


From: Salim Rupia <zabarelo@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, January 2, 2013 10:44 PM

Subject: Re: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani

Jamani, "Asalaam Alaykum" ni sawa na "jambo?"; yaani greetings" tu  ila kwa lugha ya Kiarabu.
Mnajua kuwa kuna Waarabu Wakristo na wanasalimia hivyo hivyo?
Na ujinga na upumbavu unaosemwa hapa ni wa salaam hiyo na walioanzisha ama ni huyo Muumini binafsi?
Mi namkumbuka Mkatoliki mmoja aliekuwa hadi anafunga Swaum ndiye aliehamasisha sana kusalimia kwa salaam hiyo majukwaani; alikuwa Mkuu wa kwanza wa Nchi hii. Tunasemaje hapo...
Huyo M bunge alikosea sana kwa kuwa kama wengi waliochangia wanavyosema, inawezekana alikariri salaam; kuwa akiwa mbele ya watu wengi aanze na salaam hiyo bila kukumbuka mkusanyiko ule ulikuwa wa watu gani.
Mi nakumbuka wakati wetu kwa wale tulopita National Service (JKT) ukipangwa ulinzi "Main Gate" kuna amri na maswali ambayo unakariri kuuliza kwa kila dereva wa gari litakalotaka kuingia kambini. Tulikuwa tunawatania kina "green kwanja" kuwa wao hata mchana watamwambia dereva "zima taa za mbele, washa taa za ndani" kwa kuwa hiyo ndo ilikuwa amri ya kwanza! Kisa; kukariri...
2013/1/3 matinyi@hotmail.com <matinyi@hotmail.com>
Hizi salamu ni za kijinga mno mno. Sijui huu upumbavu ulianzishwa na nani? Yaani tu taifa la ajabu sana.
Matinyi.




T-Mobile. America's First Nationwide 4G Network

----- Reply message -----
From: "godfred mbanyi" <mbanyibg@yahoo.com>
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani
Date: Thu, Jan 3, 2013 5:14 am


Huu unafiki wa kisiasa utawaponza wengi!!! Utakuta kiongozi ni mwislamu safi, swala zote na hija ameenda, lakini anasimama kwenye jukwaa la siasa na salaam za " Tumsifu Yesu Kristo"!!!!!!!!!! Kisa, kutafuta sapoti ya wapiga kura!!! Asifiwe, mtu usiyemwamini?



--- On Thu, 1/3/13, magreth Mulokozi <m.mulokozi@gmail.com> wrote:


From: magreth Mulokozi <m.mulokozi@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, January 3, 2013, 2:07 AM


Duu anatafuta kura  za 2015 sasa , duu  pole sana Nd Shekifu



2013/1/3 matinyi@hotmail.com <matinyi@hotmail.com>

.....alikariri.....siyo alikalili.





T-Mobile. America's First Nationwide 4G Network



----- Reply message -----
From: "adeladius makwega" <makwadeladius@googlemail.com>
To: "mabadilikotanzania" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>, "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii] Mbunge wa Lushoto azomewa Kanisani
Date: Thu, Jan 3, 2013 4:46 am


Shekifu aunza mwaka mpya Vibaya

Mbunge wa  Lushoto Hendry Shekifu ameuunza  mwaka wa 2013 vibaya
baada ya kuzomewa Kanisani  na  waamini katika    sherehe  za  mwaka
mpya baada ya kupewa nafasi ya  kuwasalimu washirika wa Kanisa Kuu  la
KKKT  Lushoto Tanga.

Ibada hiyo ya kuukaribisha  mwaka  mpya ilianza kwa  waumini kupokea
mahubiri  ya  mwaka mpya  yaliyohubiriwa na Mchungaji Walelaza  na
baadae kufuatiwa na ibada  ya ubatizo ambapo watoto wawili kutoka
familia  mbili walibatizwa.

Mara baada ya  ubatizo huo  ibada  ilifuatiwa na utoaji wa  Sadaka
huku  mbunge  huyo wa  Lushoto akionekana  kushiriki  kikamlifu
katika  ibada hiyo .

Akiwa  amevalia  suti  ya rangi  nyeusi  yenye mistari    midogo
midogo  miyeupe Mbunge Shekifu ambaye  aliwahi kushika nyadhifa
mbalimbali zikiwamo ukuu  wa mkoa alipewa nafasi ya kusimama  mbele ya
waamini mithili ya  kasisi.

Nafasi hiyo ilitolewa  wakati wa  Matangazo  huku  mchungaji
akiwaomba  waumini hao  kumsikiliza Mbunge wao ili awasalimu. Basi
Mbunge  Shekifu alisimama  huku akiweka    vizuri koti   kwa kujifunga
vifungo vya koti hili ambalo  lilionekana  kuutosha  mwili wake
mkubwa  uliojengeka  vizuri.

Alikisogelea kipaza sauti  mara  alianza kuongea   kwa
kujiamini."Aslaam Aleikumuuu…" Duu  utangulizi huo  uliharibu  hali ya
hewa  ya kanisa hilo wauumini kuanza  kuzomea na kuguna   kutokana
salaam  hiyo  iliyotolewa  mwanzoni  katika  sehemu  isiyo sahihi.

Hali hiyo iliwafanya waumini hao  kuibua  munkali huo kutokana na
kitendo cha  mbunge  huyo  pengine  kukalili namna  ya kusalimia watu
katika  majukwaa ya kisiasa  bila ya kujua kuwa  sasa  madhari
aliyokuwa nayo ilikuwa  ya  salaam moja  tu   kama sikosei ni Bwana
Yesu asifiwe au  Tumsifu Yesu Kristu.

Hekima  ilitumika   pengine  huku  yule aliyempa nafasi ya kuwasalimu
wauumini wake akijilaumu kuitoa  nafasi hiyo iliyotia  shubiri
kanisani hapo na kuibua  zomeazomea hiyo  ambalo  sio  jambo la
kawaida  kwa waumini kufanya hivyo.

Mchungaji Walelaze  ilibidi  kuinuka na kusema waziwazi  kuwa  Ndugu
Shekifu umekosea  sana kwanza  ulitakiwa  kujitambua kuwa  wewe
japokuwa ni  Kiongozi  pia wewe ni mkiristu   lolote utakalo fanya
popote  pale    tambua     unamajukumu mawili kwanza  ukiristu wako
na pili   kuwa  kiongozi.   Hapa ni kanisani  ulitakiwa kuwasalimia
waashirika  kwa   salaam   yao  siyo salaam hiyo uliyoitoa hapa.

Basi  mchungaji huyo alimaliza  mtafaruku huo huku  mbunge  huyo wa
Lushoto akishuka  katika mimbari ya kanisa  hilo kwa  fedhea na
kurejea  katika kiti chake  ambacho kilikuwa  jirani na  mlango   wa
kutoka  nje  ya  kanisa.

Mara  baada ua  ibada  hiyo  ya mwaka mpaya  mbunge huyo alionekana
kuwa mtu wa  mwisho kuondoka  kanisani  mara baada ya washirika  wote
kuondoka  lakini  washirika  hao  walisema kuwa   mbunge  huyo
amekalili  kusalimia   kwa  salaam    hizo   ndiyo maana  alipitiwa.

"Mimi nilitaka    Mbunge  aombe  msamaha  kwa alilolifanya  sio
kuondoka kimya kimya  tu  hawa wanasiasa  hawana adabu kabisa wanakuja
na   mbwembwe alafu wanapata aibu."alisema mama  mmoja
aliyejitambulisha  kwa  jina moja tu la Mama  Sarah.

Mshirika mwingine alimuunga  mkono mchungaji Waleleza kwa  kumkumbusha
Mbunge  huyo  kuwa  makini sana akiwa  kanisani  na kuheshimu  salaam
 za ibada   za makanisa  sio kuja  na  salaam    za   nyumba  zingine
za ibada.

"Pengine  inawezekana Mbunge huyu  asipewe  tena  nafasi ya
kuwasalimu waumini kanisani kutokana na kosa  hili," aliserma  mzee
mmoja wa makamo ambaye  alidai kuwa hilo ni kosa  baya.

Mwishoni alionekana  Mbunge Shekifu akiingia ndani ya  gari yake
nyeupe  yenye  Bendera ya  CCM ikipeperuka  mkono wa kushoto. Ndani ya
gari hiyo   kukiwa na  akina mama  watatu ambao walionekana  wakifunga
milango na  dereva   wa gari hilo akiondoa  gari  katika eneo la
kanisa  hilo.


Wasalaam  Adeladius Makwega

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.




--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment