Monday 14 January 2013

Re: [wanabidii] Dr. Hamisi Kigwangalla naye anahutubia na Kifimbo!

HK usiishie kwenye kifimbo tu! Uache na unafiki kwa kuhakikisha unasema na kusimamia yale aliyosisitiza Mwl.
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: mngonge <mngonge@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Mon, 14 Jan 2013 18:01:55 +0300
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Dr. Hamisi Kigwangalla naye anahutubia na Kifimbo!

Bravo Dr. Kigwangalla kwa kumuenzi mwl. JK  Nyerere. Ni vyema ukawahimza na wenzio katika hilo jumba la kijani wajitahidi kumuenzi mwl. angalau kwa mawili au matatu yanayohusu ummoja wa kitaifa na mgawanyo mzuri wa tulichonacho (resources).

Nakuonea huruma maana waliokuzunguka katika hilo jumba la kijani sidhani kama watakuelewa. Wataona kama unataka kuturudisha kwenye enzi za mwalimu, wakati sera ya sasa ni ukiwahongopea washamba wakakupa nafasi chumia tumbo lako kadri uwezavyo hao wadanganyika wajiju

On Mon, Jan 14, 2013 at 5:08 PM, Zulqarnayn Alexander <zulqarnayn.alexander@gmail.com> wrote:
Photo

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment