Sunday 16 December 2012

[wanabidii] ------------------------------ On Sun, Dec 16, 2012 06:56 GMT rashid martin wrote: > > >mi niko optimistic kidogo, hao waandishi mmewasakama kwa sababu imeguswa CHADEMA, kwa sasa chadema haitakiwi kuguswa kwa lolote, habari kama hiyo ingetokea CCM magazeti ambayo yangeiandika ingekuwa karibia yote,pili ifahamike kuwa uwezo wa waandishi wetu wengi taaluma ya uandishi ina wapiga chenga, ukichanganyia na tupesa wanatopewa aaah mashallah....kuna haja ya kukagua vyeti vya waandishi ikiwa ni pamoja na sisi wananchi kusimama katika hoja zaidi na sio hisia, maana sahizi hao chadema kama wamewalisha nini sijui >jana nilikuwa nasoma mtandao mmoja wa kijamii, kuna mtu mmoja alipose hoja kuwa zile gari walizopewa chadema kama msaada kuna madereva wanaziendesha kwa fujo mno, na akatoa mfano wa gari huko arusha..baada ya thread hiyo waliochangia walimzodoa vibaya mno, wengine wakasema eti hayo ni mazoezi ya kumdrive rais mwaka 2015, wengine wakasema changes hazitaki mwendo wa kinyonga zinataka kasi, kwa kifupi mi sielewi wapi tunakwenda...mimi nikiwa mwanachama mwenye kadi ya CCM, nategemea kuiona CCM mwaka 2015 ina ng'oka kwa gharama zozote za kiroho za kinafsi au za kimwili...CCM ni tatizo katika nchi hiii wataivuruga itakuja kuwa kama somalia kwa sababu tu ya kuendekeza tabia za rushw,na kuona ni sehemu katika maisha yo hasa katika chaguzi zao >Date: Sat, 15 Dec 2012 12:06:09 +0300 >Subject: Re: [wanabidii] Jamboleo, Mtanzania na Uhuru: Uwezo wa Waandishi na Wahariri wao. >From: josephludovick@gmail.com >To: wanabidii@googlegroups.com > >Ndiyo maana ni muhimu kufundisha falsafa katika shule zetu.haya magazeti nayo pamoja na uhuru na habari leo naanza kuyatumia chooni > >2012/12/15 Josephat Isango > >Ninasoma sana, lakini sikutegemea kama waandishi baadhi na wahariri wao kuwa weupe kichwani kiasi hiki. Yaani hawa ni afadhali hata watoto walioenda sekondari bila kujua kusoma na kuandika lakini wanaweza kuhoji mambo. hivi Wahariri na Waandishi wa magazeti haya kweli wana Chembe hata aibu?. Jamani hata kama mtu umehongwa ndo unahongwa hadi akili?. Ukiambiwa andika nyoka ana miguu unaandika hata kama unajua nyoka wote hawana miguu. kuna haja gani ya kuwa na taaluma ya habari kama ni vile? Reasoning to some Tanzanian is very abnormal. > > >--- On Sat, 12/15/12, Joseph Ludovick wrote: > > >From: Joseph Ludovick >Subject: Re: [wanabidii] Jamboleo, Mtanzania na Uhuru: Uwezo wa > Waandishi na Wahariri wao. >To: wanabidii@googlegroups.com >Date: Saturday, December 15, 2012, 12:35 AM > >Misango umekuwa kama husomi majadiliano humu mabadiliko.hitimisho ambalo limeshakubaliwa hapa kwa sasa ni kuwa magazeti ya Tanzania(baadhi lakini mengi kutosha) waandishi wake ni makanjanja > > > >2012/12/15 elias mhegera > > >hizi ndiyo propaganda kwa ajili ya 2015 zimeanza > > >Elias MhegeraMedia & Information Officer >Tanzania Human Rights Defenders Coalition Tel: 255-0754-826272 > 255-0715-076272Email: > mhegeraelias@yahoo.com mhegera@gmail.com > >The only thing we have to fear is fear itself > > From: Josephat Isango > > > To: wanabidii@googlegroups.com > Sent: Saturday, December 15, 2012 4:04 PM > > > Subject: [wanabidii] Jamboleo, Mtanzania > na Uhuru: Uwezo wa Waandishi na Wahariri wao. > > > >Jamboleo, Mtanzania >na Uhuru: Uwezo wa Waandishi na Wahariri wao. > > > >Mwandishi unapoletewa stori ya BAVICHA, na mtu binafsi >huulizi Maswali? Mbona kama BAVICHA ni suala pan asana, inakuwaje waandishi >mnaitwa na mtu mmoja tu mkamsikiliza mkaandika mawazo yake mkaleta kwa >watanzania? Msemaji wa BAVICHA, Ni Mwenyekiti wa BAVICHA kwa ngazi husika, >kuanzia msingi, hadi Taifa. Waliotwa Mwanza na Katibu mmoja tu bila hata kuwa >na Mwenyekiti wake, tena wanajua Katibu amesindikizwa na Mtu aliyefukuzwa >Uanachama na Kamati Kuu akapoteza Udiwani, (Chagulani) na Edo Mwamalala >aliyefukuzwa Uanachama na Kamati Tendaji ya Mbeya, pamoja na kundi jingine >ambalo linatajwa kwenye mitandao kuwa lipo kazini, kwa pesa nyingi sana >inayotolewa na baadhi ya watu tunaowafahamu kwa ajili ya Propaganda. mwandishi >unapokuwa huulizi Maswali, unapeleka kwa Mhariri, stori ambayo kwanza >hujabalance, halafu mnaiweka ukurasa wa mbele inatia shaka. Sijui pengine ndo >mpango wa kufanya magazeti yenu yaache kuaminika. Kwa utaratibu huu, Waandishi >na Wahariri mnajishusha chini kabisa kuliko kundi lolote katika jamii. > > > >Hivi Mwandishi wa Mwanza, huwezi kumuuliza Mwamalala kwanini >umekuja Mwanza toka Mbeya kufanya Mkutano na Waandishi huku kwenu hakuna? >Huwezi Kumuuliza katibu mbona Mkutano huu ni wa kinyemela, Mwenyekiti wako yuko >wapi? Imekuwaje wewe Utoke Mbeya, upite Dar, uje Mwanza kufanya Mkutano na >waandishi, hivi Mikoa yote kwanini umepita? Iringa, Morogoro, Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu >hadi Ukaja huku na ukashirikiana na Katibu tu, ndo huyu amekusababisha utoe nauli >toka Mbeya kuja kuongea naye, si mgeongea kwa simu tu kila mmoja akatoa tamko?. >Hii BAVICHA ya watu wawili ikoje?. Baadhi ya Waandishi na Wahariri Uwezo wao >nadhani hata ndani ya familia zao wanautilia shaka, sijui kwenye jamii. > > > > > >-- > >Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com > >nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com > >Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com > > > >DELL LATITUDE D 620 & D30 > > > >80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM > >DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH . > > > >TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY > > > >CALL : 0786 806028 > >Free Delivery in Dar es salaam > > > >Kujiondoa Tuma Email kwenda > >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma > > > >Disclaimer: > >Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. > > > > > > > > > > > > > >-- > >Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com > >nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com > >Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com > > > >DELL LATITUDE D 620 & D30 > > > >80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM > >DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH . > > > >TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY > > > >CALL : 0786 806028 > >Free Delivery in Dar es salaam > > > >Kujiondoa Tuma Email kwenda > >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma > > > >Disclaimer: > >Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. > > > > > > > > > > > > >-- > >Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com > >nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com > >Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com > > > >DELL LATITUDE D 620 & D30 > > > >80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM > >DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH . > > > >TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY > > > >CALL : 0786 806028 > >Free Delivery in Dar es salaam > > > >Kujiondoa Tuma Email kwenda > >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma > > > >Disclaimer: > >Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. > > > > > > > > > > >-- > >Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com > >nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com > >Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com > > > >DELL L

Sasa ni wazi kwamba CDM wana sera ya kutotaka kusemwa. WAO ni malaika hawafanyi makosa. Jaambo hili ni la HATARI kuliko ukoma na ukimwi. Hatari zaidi ni pale ambapo hata wale yunadhania wana macho ya kuona mamboo pia wamekuwa vipofu ambao.siku zote.wanatak kusikia na kuona CDM ikiandikwa vizuri tu. Na kwambaa yale yanayoseemwa na viongozi wao ni sawa ama yametoka kwa.MUNGU yaani hawakosei.

Mtizamo huu unanipa wasiwasi na watu hawa. My conclusion hienda ikawa kwamba ninyi siyo watz au mmetumwa na mko kwenye Payrroll ya watu ffulani ili mtuvuruge watz.

Niwaeleze tu mtavurugana ninyi wenyewe msiotaka kuambiwa makosa yenu, kkama watza mtatiaccha hivi hivi.

Watu mmejaa ukali uttadhani tayari mnaongoza nchi, watu gani nyie. Halafu mnadhani mmesoma nyie tu, hata sisi yumesoma bwana msitutishee hapa.ebo.

Toeni hoja watu.wazipime waone ukweli iko wapi siyo kila jambo likisemwa maadamu liko.kinyume na CDM basi watu hao eti hawajui au ni mkakati wa.CCM. kwa. nini na ninyi. tusiseme ndio mkakati wenu.

kuweni waungwana. fanyeni siasa za.kiungwana vinginevyo take it from me hampati kitu.

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

0 comments:

Post a Comment