Tuesday 18 December 2012

[wanabidii] Nyumba za NHC Kibada kuanza kuuzwa wiki hii; Bei haitazidi Mil. 50/= - Mwanzo

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) litaanza kuziuza nyumba zake zinazojegwa katika eneo la Kibada katikati ya wiki hii.

NHC iemesema nyumba zake 216 zinazojengwa katika maeneo hayo ya Kigamboni jijini Dar es Salaam, hazitauzwa kwa zaidi ya Shilingi milioni 50, ili kumwezesha mwananchi wa kawaida kuzinunu.

Taarifa hiyo ilitolewa jana na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mikoa na Utawala wa NHC, Raymond Mndolwa, wakati wa ziara ya wahariri wa vyombo vya habari waliotembelea miradi ya ujenzi wa nyumba za shirika hilo.


http://wotepamoja.com/archives/10911#.UNA2DFsRMf8.gmail

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment