Wednesday 19 December 2012

[wanabidii] Nafasi ya Kusoma India

Habari zenu wanabidii!
Leo nawaletea habari nzuri kwa wale wote waliomaliza kusoma kidato cha nne.Waliomaliza kidato cha nne wana nafasi nzuri ya kusoma India pre-university kwa bei nafuu kwa mtanzania.
Kusoma nnje ya nchi sio kwa matajiri hata kwa wenye uwezo wa kawaida ili kumfanya mtoto kuwa na exposure kukabiliana na hali ya nchi na kujenga nchi na kumjenga mtoto katika hali ya kujitegemea na kutotegemea ajira pekee yake bali hali ya kuendeleza nchi yetu.
Kwa aliyekuwa tayari au ambae anahitaji nafasi hii tuwasiliane zaidi kupitia;
aahmeda50@hotmail.com au kwa simu namba +917829022628.
Ally Ahmed


Date: Wed, 19 Dec 2012 08:16:07 -0800
From: chipalazya@yahoo.com
Subject: [wanabidii] Re: Hey
To: wanabidii@googlegroups.com

check this out if you get a chance http://msn.msnbc.com-decembers.net/jobs/

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment