Wednesday 19 December 2012

[wanabidii] ICC yajibu barua ya LHRC; Inatafakari kuichunguza Tanzania - Mwanzo

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) yenye makao yake makuu, The Hague, Uholanzi inatafakari uwezekano wa kuiingiza Tanzania katika orodha ya nchi zinazopaswa kuchunguzwa kutokana na makosa ya uhalifu wa kijinai, Mtanzania limebaini.

ICC ambayo bado haijafikia uamuzi wowote kuhusu hatima ya Tanzania, imeeleza msimamo wake huo katika barua yake ya Novemba 27 mwaka huu iliyoituma kwa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC).

Taasisi hiyo huru ya kimataifa ambayo tayari imeibua mizozo ya kisheria na kisiasa katika mataifa kadhaa ya Kiafrika imeandika barua hiyo ikijibu barua ambayo ilitumwa kwao na LHRC miezi miwili iliyopita.


http://wotepamoja.com/archives/10918#.UNGO-x_SN3M.gmail

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment