Du!! Hiyo ni Hospitali ya Taifa, sasa zile za Kata, je?
Vin
2012/12/9 Said Issa <saidissa100@yahoo.com>
--"Hali ya huduma kwa wagonjwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam si shwari, sasa wagonjwa wanalazimishwa kwenda na shuka.Inaelezwa kuwa hatua hiyo inatokana na kile kinachoelezwa kuwa ni hali ngumu ya kiuchumi inayosababisha uhaba wa vifaa zikiwemo shuka.
Uchunguzi wa NIPASHE Jumapili ulibaini kuwepo idadi kubwa ya wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo kutoka mikoani, wakilala kwenye vitanda vyenyemagodoro yasiyotandikwa shuka. Mbali na kukosa shuka, magodoro hayo yalikuwa machafu, hali inayoelezwa kuwa kinyume cha kanuni za afya na matibabu".Nchi hii kama hatujachinjana hapa mambo hayatokaa sawa, kwasababu huu mchezo sio mzuri hata kidogo. In fact, huu ni ujinga.Juzi tulikuwa na pesa za kupeleka kikosi kizima DR Congo kumuokoa Bw. Kabila, leo hata senti 5 hatuna za kununua shuka hospitalini!Oh my God!
...bin Issa
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
DELL LATITUDE D 620 & D30
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,2 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
DELL LATITUDE D 620 & D30
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,2 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment