Kama ulivyosema kua uozo tumeulea wenyewe. kwahiyo anapojitokeza mtu mmoja nakufanya jambo lakijasiri kama alivyofanya Dr.Uvisa tumtie moyo na tusimbeze maana amethubutu. Au Hilda unasemaje?
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, December 24, 2012 4:39 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: Mawaziri wa JK wagongana
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
DELL LATITUDE D 620 & D30
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, December 24, 2012 4:39 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: Mawaziri wa JK wagongana
Nchi imeoza. Tunaangalia mengi mabovu tunayaacha yaendelee. watendaji waovu ni sisi wenyewe. Na siku hizi kumeingia kulipiziana kisasi-kukatwa vichwa, kuchomewa nyumba, kuuawa. Utekelezaji wa sheria unakuwa mgumu kuwa mtu anaogopa kufanyiziwa kutumia mitandao ya mauaji. Afisa wa NEMC mmojawapo kafanyiziwa tumesoma magazetini. Leo unaona mtaani mtu anamwaga maji machafu hovyo na ana biashara inamuingizia hela. Wananchi wanasema-Serikali ije ituondolee tatizo hili. Wakati kuna balozi wa nyumba kumi, serikali ya mtaa, afya Kata, Police Kata, kamati ya mazingira etc lakini tunaogopana wenyewe kwa wenyewe. Mtu mmoja anaweza kuweka karaha mtaa mzima ukakereka. Tutaona ktk TV eti nyumba ya kuishi imegeuka kiwanda cha mikae inatoa moshi jamii inashindwa kuishi salama. waliotoa leseni ya mikate hawaangalii kiwanda kipo wapo bali ushuru tu na mapato ya halmashauri. Ndio sasa mtu anapangisha Mchina (mgeni) anafungua kiwanda cha maplastiki uraiani au chga mazao ya chakula-kinyesi na maji machafu yametapakaa ndani na nje ya jengo. Huu uhuru ya hata wageni kuja kufanya wasiyofanya kwao inakuwaje jamani watutese na kufufanya zoba nchini kwetu? bado na sisi wenyewe garage kial mahala, viosk na mapishi kila mtaa na kila nyumba. Nyama inaning'inizwa bushani kutwa inazingirwa na mainzi hata misingi ya afya haizingatiwi. Viongozi na wahusika wengine wanaona, bucha linakioo na air conditioner lakini milango ipo wazi mainzi kibao au chakula kinauzwa kabati ni la kioo linafungika lakini halifungwi kutwa li wazi na maishi. Kisha unaona watu na suti zao wanakula hapo pa mainzi na vumbi linapulizwa na upepo linaingia humo. Ndio tutajali kuwa na wawekezaji wanaozingatia sheria za mazingira ambapo wenyewe tuna wa ustaarabu wa paka kukalia mkia? Vijijini ndio balaa, mifugo inakunywa hapa, nasi twaoga hapa na kuchota hapo, hapo hapo tunaoshea dhahabu na madini mengine kisha tunakunywa. Mara maguduria ya kunyunyizia dawa mashambani tunakosha mtoni na kulala na madawa ndani ya nyumba. Huku baba anavuta sigara ndani ya nyumba walimolala mama na watoto. Unaona kifafa kinapanda juu katika kijiji na Mtaa unashangaa why kifafa kutibiwa watu 400 kwa mwaka kaeneo kadogo hivyo-Madawa kuala nayo na kuyapumua, kuyanywa majiji; mafundi magari na mbao kupulizia rangi na mivuke yenye madawa hewa inavutwa na watoto na watu majumbani magereji na uselemala upo majumbani makao ya mbanano, welding na irin dust twabwiwisha watu. Nenda uwakamate-wanatishia kukunyima kura au kukumaliza-mtendaji kazi unaogopa. Unachukua kasenti unalala mbele. Ndio hayo matokeo ya kuzaa watoto wenye vilema viungo vipo nje, mara kazaliwa hana pua ila uso una jicho moja etc. Ndio vinyesi tutambavyo mama ntilie na madhara mengine kupitia maziwa na nyama za mifugo na samaki (bio-accumulation in milk, meat). Mwageni tu kinyesi, kemikali etc mitoni na maziwani, baharini matokeo ni kulimaliza taifa. matibabu-India. Krismass Njema. --- On Mon, 24/12/12, alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
DELL LATITUDE D 620 & D30
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment