Bwana Maggid
asante kushirikisha uliyoona huko Bagamoyo kuhusu Maembe. Nami kwa upande huu wa LIndi na Mtwara ni msimu haswaa wa embe. Kwa sasa watoto muda wote wameshiba maembe yanapatika kila mahali.
Ukienda kwa wauzao Ndoo moja ni sh. 5,000/- bei ya kuanzia. Waweza kununua Ndoo hata kwa sh 2,000/-. Inategemea tu ukarimu wa mnunuzi, kama ulivyofanya wewe.
Tafakari yangu ni kwamba nikiangalia sehemu yetu hii, maembe yanayotumika ni asimimia 40 (40%)tu. Asilimia 60 yanaozea chini. Swali ni kwamba kweli viwanda vyetu vimeshindwa kutumia msimu huu wa maembe na kuyasindika kiasi kwamba yanaweza kutumika mwaka mzima na hata kusafirisha nje?
Zao la Korosho wakulima wamekwisha kopwa. Wamebaki na stakabadhi tu. Mmoja aliniambia halali usingizi sawa sawa maana anaogopa panya kutatuna stakabadhi yake maana atapoteza haki yake yote.
Kwa hali hii KILIMO KWANZA ni maneno tu au kuna nia ya dhati ya utekelezaji wa kumsaidia na kumwinua mkulima. Utawashawishije vijana wapenda kilimo. Duu inauma kweli yaani.
kessy
From: jabir yunus <jabirgood@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com; mabadilikotanzania <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, December 19, 2012 1:51 PM
Subject: Re: [wanabidii] Neno La Leo: Kitendawili Cha Embe Dodo Na Tunakokwenda....
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
DELL LATITUDE D 620 & D30
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
asante kushirikisha uliyoona huko Bagamoyo kuhusu Maembe. Nami kwa upande huu wa LIndi na Mtwara ni msimu haswaa wa embe. Kwa sasa watoto muda wote wameshiba maembe yanapatika kila mahali.
Ukienda kwa wauzao Ndoo moja ni sh. 5,000/- bei ya kuanzia. Waweza kununua Ndoo hata kwa sh 2,000/-. Inategemea tu ukarimu wa mnunuzi, kama ulivyofanya wewe.
Tafakari yangu ni kwamba nikiangalia sehemu yetu hii, maembe yanayotumika ni asimimia 40 (40%)tu. Asilimia 60 yanaozea chini. Swali ni kwamba kweli viwanda vyetu vimeshindwa kutumia msimu huu wa maembe na kuyasindika kiasi kwamba yanaweza kutumika mwaka mzima na hata kusafirisha nje?
Zao la Korosho wakulima wamekwisha kopwa. Wamebaki na stakabadhi tu. Mmoja aliniambia halali usingizi sawa sawa maana anaogopa panya kutatuna stakabadhi yake maana atapoteza haki yake yote.
Kwa hali hii KILIMO KWANZA ni maneno tu au kuna nia ya dhati ya utekelezaji wa kumsaidia na kumwinua mkulima. Utawashawishije vijana wapenda kilimo. Duu inauma kweli yaani.
kessy
From: jabir yunus <jabirgood@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com; mabadilikotanzania <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, December 19, 2012 1:51 PM
Subject: Re: [wanabidii] Neno La Leo: Kitendawili Cha Embe Dodo Na Tunakokwenda....
Mhh, Maggid, hili NENO. Na ndio hali ilivyo kwa wakulima (wavuvi, wafugaji, warinda asali) wa Tz. Wanatumia nguvu nyingi, muda mwingi, gharama kubwa kazini lakini wanachokipata hakizingatii hayo. Hapa si tu wanakula hasara, bali pia wanazidi umasikini. Tutahadhari sana na mwenendo huu mbaya. Jabir+ --- On Tue, 12/18/12, maggid mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
DELL LATITUDE D 620 & D30
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
TSHS : 360,000 , 1 YEAR WARRANTY
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment