Monday 1 October 2012

[wanabidii] Sumaye ashindwa uchaguzi CCM, Alazimika kuondoka ukumbini kimya kimya bila kuaga - Mwanzo

AMINI usiamini, Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, amepigwa mweleka. Sumaye amepigwa mweleka katika uchaguzi wa kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), kupitia Wilaya ya Hanang, Mkoa wa Manyara.
Aliyeibuka mshindi katika nafasi hiyo ni Mbunge wa Hanang ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, aliyekuwa akipambana na Sumaye.
http://wotepamoja.com/archives/7773#.UGlK1E4XWsc.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment