Saturday 20 October 2012

Re:[wanabidii] Sehemu Ya Msimamo Wa CHADEMA Kuhusu Kukamatwa Sheikh Ponda & Amir Farid - Mwanzo

Ogopa sana Chadema na tamko lake, etiquette wakiwa wanajiandaa kuchukua dora. ... Tamko hilo limefunikwa kisiasa, CHADEMA wanajua, na wanatafuta uungwaji na kundi hili la Waislamu, ambao binafsi naona wametumia dini ya Kiislamu kutimiza azma zao.
Sawa CHADEMA nao watakakuongeza genge jingine katika harakati zao.
Kuhusu dhamana serikali ilisema sababu zake lakini pia hakimu mfawidhi ambaye ndiye atasikiliza shauri lile hakuwepo.
CHADEMA msitumie hali hii kama msingi wa kisiasa.

On Oct 20, 2012 9:17 PM, "Magiri paul" <kiganyi@gmail.com> wrote:
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimekutana na waandisihi wa habari makao makuu ya chama hicho jijini Dar es Salaam leo, ambapo wajumbe wa Kamati Kuu, Profesa Abdallah Safari na Mabere Marando, wameweka waziwazi msimamo wa chama hicho kuhusiana na mgogoro kati ya waislamu na serikali na kukamatwa kwa Sheikh Farid huko Zanzibar.
http://wotepamoja.com/archives/9371#.UILqpeUSd8k.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment