Ipo siku CHADEMA itaipinga serikali ikisema 2 x2= 4. Ninailaumu sana serikali kwa kutokaa na wapinzani kutafuta msimamo wa Pamoja kuhusu maswala ya kitaifa kama Mgogoro wa Malawi, Vurugu za WAislam nk. Israel ilipoivamia Entebe Uganda kuwakomboa wananchi wao waliokuwa wametekwa na magaidi wa Kipalestina. Kiongozi wa Upinzani aliyekuwa ameshirikishwa siri hiyo alijitokeza hadharani kutetea kitendo hicho cha Serikali Sasa Chadema ambao wako dressing room wakijiandaa kuchukua dola wanaweza kuikosoa serikali kuhusu msimamo wa Mahakama kuhusu dhamana ya Ponda? CHADEMA iangalie sana. Obama ameanza vizuri kampeni. Lakini kadri siku zinavyokaribia uchaguzi kura zake zinapungua. CHADEMA hawaelekei huko? --- On Sat, 10/20/12, Magiri paul <kiganyi@gmail.com> wrote:
|
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment