Thursday 27 September 2012

[wanabidii] MSONGAMANO DAR NA TRENI

NIMEPATA HII NIKAONA NIKUJUZE NAWE


Siku si nyingi zijazo tutaanza kutumia treni kwa usafiri ndani ya jiji la Dar. Ni muda muafaka kuanza kujiuliza maswali mengi: je, mfumo umejiandaaje kuukabili msongamano utakaotokea Ubungo baada ya treni hizo kumwaga watu kwa mamia toka mjini? Kwa wenzangu waendao Kimara, Mbezi, n.k. wameandaliwa vipi kupokea dhahama itakayowapata kutokana na "mlundikano" (juu ya msongamano!) huo hapa Ubungo?

Ili kutafakari vizuri na labda kujaribu kuchukua hatua hatua, hebu angalia shughuli ilivyo kwa wenzetu huko China ambako tayari wanatumia treni za mitaani! Je, hayatatupata haya?

KAMA KWAO NDIO HIVI WALIOENDELEA JE SISI??

--
"No matter how far down the wrong road you've gone, TURN BACK."

"I would like to live as POOR MAN with lots of MONEY"

"By the the time a MAN is wise enough to watch his step, he is too old to go anywhere"

"TODAY IS TOMORROW YOU WORRIED ABOUT YESTERDAY"




MGONGO EMMANUELEY P. 
P.O.BOX 3746
DAR  ES SALAAM
MOBILE:0784-740487
             0715-388883
             0755-388883
             
emmanueley@iwayafrica.com
emmanueley@in.com
emmanueley@ecommtz.com
chandling@ecommtz.com
sales@ecommtz.com
WEB: www.ecommtz.com




--
"No matter how far down the wrong road you've gone, TURN BACK."

"I would like to live as POOR MAN with lots of MONEY"

"By the the time a MAN is wise enough to watch his step, he is too old to go anywhere"

"TODAY IS TOMORROW YOU WORRIED ABOUT YESTERDAY"




MGONGO EMMANUELEY P. 
P.O.BOX 3746
DAR  ES SALAAM
MOBILE:0784-740487
             0715-388883
             0755-388883
             
emmanueley@iwayafrica.com
emmanueley@in.com
emmanueley@ecommtz.com
chandling@ecommtz.com
sales@ecommtz.com
WEB: www.ecommtz.com

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment