Friday 28 September 2012

Re: [wanabidii] Zitto: Ubunge sasa basi - Mwanzo

Au anaweza kuisaidia CCM kushinda kwa shida au kirahisi ikitokea CHADEMA wakapitisha jina lake! Nani anaweza kuwahakikishia waTanzania kuwa Zitto atafanya mageuzi akiwa Rais? Mimi naweza kuhakikisha kwa hoja kuwa mchango wake ni muhimu sana akiwa Mbunge ; hata Waziri katika serikali ya CHADEMA. Lakini nitasika kumshawishi jirani kumpa urais. Bado kidogo. Hili ni Taifa na tukimpa urais mtu tumempa. Mpaka miaka mitano au kumi iishe ili kumbadili.

--- On Thu, 9/27/12, John George <georgejn2000@gmail.com> wrote:

From: John George <georgejn2000@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Zitto: Ubunge sasa basi - Mwanzo
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, September 27, 2012, 9:58 PM


Nampa hongera Mh. Zitto kwa uamuzi huo. Anaweza kuwa Rais
2012/9/28 Magiri paul <kiganyi@gmail.com>
"Nimefanya kazi kubwa katika kazi yangu ya ubunge, nimeleta mabadiliko mengi kuanzia bungeni mpaka jimboni. Nadhani inatosha na hata nikiongezewa miaka mingine sitaweza kufanya yale yaliyonishinda katika kipindi cha miaka kumi. "Kama Mungu ataniweka mpaka mwaka 2015, sitagombea ubunge tena kwa sababu kazi niliyofanya inatosha. Natangaza rasmi kuwa nitagombea urais kupitia chama changu cha Chadema, bila kusababisha msuguano wowote na sitaki kuingia katika historia ya kurudisha nyuma harakati za upinzani kushika dola," alisema Zitto.
http://wotepamoja.com/archives/7516#.UGUpr1ZTOfU.gmail
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment