Monday 10 September 2012

Re: [wanabidii] UWEKEZAJI WETU

Lazima kuna kitu kinachowasukuma

On Mon, Sep 10, 2012 at 7:50 PM, Sylvanus Kessy <frkessy@yahoo.com> wrote:
Yabidi tubadili mtazamo wa maisha.
 Tutavuna tunachopanda!

It is indeed rather too much.
 

 

 
 
 
 






Lazima kuna kitu kinachowasukuma kuwekeza kwenye bakuli la kuoa kuliko la Elimu. Utamaduni wetu toka enzi za mababu unahimiza kuchangia chakula na pombe wakati wa sherehe na misiba. Wenzetu Kenya walikwishaondokana na hizo mila lakini sisi mmmhuu. Ukianza ubishi wa kisiasa na kidini mtaani utagundua kwamba bado tuna tatizo sugu na hivyo kuchangiana mambo ya msingi itachukua muda mrefu.

Kazi ipo




 
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment