Monday 24 September 2012

RE: [wanabidii] SEIF SHARRIF HAMAD APASUWA BOMU!!!

Hajasema kipya. Tangu zamani ndio msimamo wa CUF; labda tu tuseme kwamba sasa wamekuja na lugha mpya ya muungano wa mkataba ambao ni upuuzi tu. Hakuna kitu kama hiki duniani. Kwani huu wa sasa hauna mkataba? Je, huo wanaoutaka una tofauti gani na huu wa AU?
 

Date: Mon, 24 Sep 2012 09:29:46 +0300
Subject: Re: [wanabidii] SEIF SHARRIF HAMAD APASUWA BOMU!!!
From: denis.matanda@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Si ndio msimamo wake ( na wa chama chake) all along au?

 
2012/9/24 John Nkumbaruko <nkumbaruko@yahoo.com>
Dear All,
Makamo wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Katibu Mkuu wa CUF apasuwa bomu kwa CCM na kwa Watanganyika pale alipoweka
msimamo wake na wa CUF wazi kabisa kwa kutamka jana mkutanoni Bububu kuwa..."wakati umefika kwa Wazanzibari kuendesha nchi yao wenyewe 
ikiwa na mamlaka ya ndani na nje na mimi ni miongoni mwa Wazanzibari wanaounga mkono hatua hiyo".
"Wazanzibari wanataka kuendesha nchi yao yenye mamlaka kamili…mimi binafsi ni muumini wa Muungano wa mkataba,"
"Muungano wa mkataba utaturudishia haki zetu Wazanzibari na sasa hivi tuna Serikali, lakini leo Serikali yetu kila kitu 
lazima tukapige magoti Tanganyika," alisema na kufafanua zaidi kuwa:
"Tunataka Benki Kuu yetu ya Zanzibar na Tanganyika watakuwa na yao…halafu tukishapata Muungano wa mkataba Zanzibar itakuwa huru,....." 
"Inshallah kwa uwezo wa Mwenyenzi Mungu, Zanzibar itarudi katika mamlaka kamili…, Wazanzibari wanachokitaka ni kuungwa mkono na mataifa makubwa,"


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 



--
Wasalaam
 
Denis Matanda,
Mine Supt,
Nzega - Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment