Sunday 23 September 2012

RE: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA

"Amesema ifike mahali Waislamu waamue kama walivyofanya Wahutu dhidi ya Watutsi" Kama kweli yalizungumzwa haya narudia kama kweli yalizungumzwa haya basi na hakuna hatuwa zilizochukuliwa na Serikali basi iko likizo haiwezekani uchochezi huu ukawekwa hewani na hakuna kiongozi akachukua hatua.zozote nchi inapoelekea nipabaya tunaomba tuinuke tuisimamie nchi zidi yawatu wanaoeneza chuki za udini 

--- On Sun, 9/23/12, rashid martin <rashidtz@hotmail.co m> wrote:

From: rashid martin <rashidtz@hotmail.com>
Subject: RE: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sunday, September 23, 2012, 6:03 AM




Date: Sat, 22 Sep 2012 21:08:21 -0700
From: petermakatu@yahoo.com
Subject: Re: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA
To: wanabidii@googlegroups.com

Maskini Chamani sijui Walewale,
 
Ondoa ujinga kwanza. Utakuponza.

From: "matinyi@hotmail.com" <matinyi@hotmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com; "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Saturday, September 22, 2012 8:52 PM
Subject: Re: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA

Jamani acheni kutukanana. Sisi wote ni maskini wa kutupwa ndani ya Tanzania. Tuijenge nchi yetu. Umaskini ama ujinga dawa yake ni kuung'oa na siyo kugombana wenyewe.
Matinyi.



T-Mobile. America's First Nationwide 4G Network

----- Reply message -----
From: "amour chamani" <abachamani@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA
Date: Sat, Sep 22, 2012 12:49 pm


Ngupala,
Hebu jenga hoja ya maana wacha kutukana haitawasaidia hata kidogo.Dawa ya haya mambo ni kuacha dhulma mliyoifanya kwa miaka yote tangu na baada ya uhuru.Hiyo mifano ya Sadam na Gadaf inahusiana vipi na hili la hapa?
Wakati mwingine huwa nashindwa kuelewa hiyo dogma yenu ya kanisani kwa nini mnaitumia katika maisha yenu ya kila siku.
Kama unajua mifano sema kanisa lilichokifanya Rwanda au ndicho mnacho taka kutufanyia sisi?
Hayo hamuwezi kwani sisi mbali ya huo ujinga na wingi wetu kama wa kuku HATUNA CHA KUPOTEZA.
TUKO CHALI HATUOGOPI KUANGUKA.
Ole wenu ninyi mafisadi,watawala,wasomi(educated fools) nk.
Hii nchi ni yetu wote acheni kiburi cha mfumo kristo.



Walewale.



________________________________
From: Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Saturday, September 22, 2012 7:02 PM
Subject: RE: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA



Ndugu Muhingo,naafikiana nawe mia kwa mia. Hawa jamaa ni lazima waelewe kuwa hakuna njia ya mkato.Kama wanaƶa wanaonewa,wajifunge mkanda,wajipange kupitia njia ile ile wenzao wamepitia.Martin Luther king aliwaambia wamerekani weusi,kama mkitaka kujikomboa,basi mwenye uwezo wa kuimba na aimbe,na mwenye uwezo wa kupigana,na apigane na mwenye kusoma na asome.Ndio matunda yake leo hii hata wanaonekana na kushika nafasi za juu serikani. Mtu anayedhani anaweza fanya lolote kwa vita au vurugu,cha muhimu ajiulize atakimbilia wapi asipopatikana? Zanzibar walipokuwa na vurugu walikimbilia Uk.Mbona hawakwenda Bubai? Elimu ya mjinga ni majungu na dawa ya mpumbavu ni upumbavu.Kupanga ni kuchagua.Lakini na ikumbukwe kila amwagae damu,naye damu yake huyo itamwagwa. Wako wapi akina Osama,Saddamu na Gadaffi?.Tunajua wanajifunza judo misikitini,pia kutengeneza mabomu ya petrol nk.Lakini hawatafanikiwa....Ngupula


------------------------------
On Sat, Sep 22, 2012 11:09 AM EEST ELISA MUHINGO wrote:

>Wewe unaamini kuwa Serikali inatoa mabilioni hayo kuimarisha ukristo? Ipo Serikali ya Namna hiyo?
>Kama serikali itatoa fedha kwa hospitali za missioni kwa sababu zinatoa huduma wala si biashara huko ni kuimarisha ukristo? Kuna hospitali yoyote inayotoa huduma kama hizo inayonyimwa ruzuku kwa sababu siyo ya kikriso? Kwanza hospitali hizo zinaendeshwa na makanisa tu lakini ni za wagonjwa bila kujali ni wa imani gani. Tunaziona za Agakhan. ni commecial/bussiness as usual.. Ni hospitali za wagonjwa tatajili. Mvumi ya Dodoma au Kilimatinde ni za wagonjwa wote. ndiyo maana serikali huzipa ruzuku.

>Tusiwe wapumbavu kama ndugu zetu hawa ila tujaribu kuona namna gani tutakwenda nao. Wanakoelekea wanaweza kuleta sokomoko. Kama wakikubaliana kuwa uislamu ni kuua na kuuawa itakuwa balaa kwa sababu ipo siku watalaumu kuwa jua halijawaka sana kwenye maeneo yao
>
>--- On Fri, 9/21/12, Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk> wrote:
>
>
>From: Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>
>Subject: RE: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA
>To: wanabidii@googlegroups.com
>Date: Friday, September 21, 2012, 11:18 PM
>
>
>
>Basi kama yanayosemwa ni kweli,nani anayepaswa kuwajibishwa hapa?mtoaji au mpokeaji?Nani tulimpa dhamana ya kulinda rasmali zetu?....ccm ndio iliyoshika dola,si waache tu kutoa?
>
>Long time ago nilikuwa nafikiri ni baadhi tu ya watu fulani wasio na uelewa mzuri ndio wanaoendekeza hizi chuki zisizo na ukweli wowote.Now am almost convinced that some religion beliefs are like cancer.They eat every one regardless of his understand. Regards,Godfrey Ngupula
>
>------------------------------
>On Sat, Sep 22, 2012 07:34 EEST MikiDadi Waziri wrote:
>
>>Bwana Mbegu
>>Hayo yanayosemwa yote ni yakweli, Ndio maana hakuna mtu yeyote mwenye
>>kukanusha..
>>On Sep 21, 2012 8:52 PM, "Edgar Mbegu" <embegu@hotmail.com> wrote:
>>
>>  Nape yuko wapi kujibu shutuma? Serikali ya CCM inaongozwa na Maaskofu;
>> Serikali ya CCM inawapendelea Wakristo kwa kuwapa mabilioni... Serikali
>> haifai hii kumbe!
>> Kamati ya Ulinzi na Usalama wapo? Hawa watu si wanatangaza vita kama ile
>> ya Rwanda? IGP yupo? Hawa watu si wanapanga kuvuruga maandamano ya CHADEMA
>> kwa kutangaza kutoka kupambana nao? Hao watu walipewa kibali cha kufanya
>> mkutano wa kidini au wa kisiasa au wa uchochezi?
>>
>> > Date: Fri, 21 Sep 2012 20:31:38 +0300
>> > Subject: Re: [wanabidii] Re: NILICHOSIKIA KONGAMANO LA KIISILAMU ARUSHA
>> > From: mngonge@gmail.com
>> > To: wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Inteligensia ilikuwepo na ipo, tatizo mitambo yao iko insensitive na
>> > mambo kama hayo na hivyo hayasomeki vizuri kwenye mitambo yao. Wala
>> > hawana sababu ya kurekebisha mitambo kwa vile yaliyo ya msingi kwao
>> > yanasomeka. Nafikiri yanayosomeka kwao mwayajua
>> >
>> > 2012/9/21 Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>:
>> > >
>> > > frmapunda,si wewe tu unayeumia.Wakristo wengi wanaumia sana kwa vituko
>> vya waislamu na ukimya wa serikali.Kwa mtazamo wangu kwa hali hii naona ni
>> hatari sana kwa Tanzania kuongozwa na raisi muislam kwani hawa jamaa kama
>> ambavyo hawaamiki kumiliki hata bunduki kwa jamii ya kimataifa,hawaamiki
>> hata kidogo kushika dhamana ya juu ya uongozi kama raisi.Tumeona hivyo
>> kipindi cha Mwinyi na sasa Jk pia. Kuishi na jamii ya watu hawa inahidi
>> umakini na ukali wa hali juu na sio kuwachekeachekea tu.Wakristo wanapoamua
>> kuzaa na kuoa kwa mpango ili kutoa malezi bora kwa watoto wao,wao wamepanga
>> kuzaliana kwa ustaarabu wa kuku,hao wakristo wakipanda hizo baiskeli,wao
>> kinawauma nini? Mimi binafsi ninawashauri sana,wabadikike kama ulimwengu
>> ulivyobadilika,wapange uzazi wa mpango na watafute maisha bora kwa watoto
>> wao,waache majungu.
>> > >
>> > > Fr,huku mwanza kuna radio kwa neema,imewafungua watu kuhusu haya
>> yanayotokea na kanda ya ziwa we are very aware. Jamii ya kikristo iko
>> makini sana na ina mipango madhubuti sana ktk chaguzi zijazo.maombi pia
>> yanaendelea na umakini wa hali ya juu unachukuliwa.Hakika,wanazaa watoto
>> kama kuku kwa lengo la kuijaza tz wjtafanikiwa lak4ni ni ktk magereza na
>> magereji.Maisha bora kwa mtanzania yataletwa na mtazania mwenyewe. Wahutu
>> waliwaua watusti,leo hali ikoje huko burundi?anayetawala ni nani?wahutu au
>> watusti?.vipaji akili na hekima ni tunda la kumcha Mungu wa kweli.Mungu wa
>> vurugu hakika yake,hatafanikiwa Tanzania.Regards,Godfrey Ngupula
>> > >
>> > > ------------------------------
>> > > On Fri, Sep 21, 2012 4:40 PM EEST frmapunda91@gmail.com wrote:
>> > >
>> > >On Monday, March 28, 2011 6:21:21 AM UTC-7, Henry Kaisi wrote:
>> > > Wakati habari juu ya babu huko Loliondo zinapumzika kidogo, naomba
>> niwape na haya niliyoyasikia kwa masikio yangu kutoka redio Imani. Hii ni
>> redio ya Waislamu ambayo inatangaza kutokea mkoa wa Morogoro. Sijui kama
>> husikika nchi nzima au la. Hapa kwetu Arusha kulikuwa na kongamano kubwa la
>> Waislamu wa madhehebu yote, jana Jpili na lilianza tangu asubuhi hadi
>> jioni. Walikuwepo watoa mada mbalimbali, lakini mimi nilifanikiwa kumsikia
>> mmoja, pamoja na immamu wa mkoa aliyetoa maazimio ya kongamano.Bila shaka
>> magazeti yataripoti vizuri. Nimesukumwa kuandika tena kwa urefu kwani
>> nilisikitika sana kusikia maneno ambayo sikuwahi kuyasikia tangu nizaliwe
>> yakiongelewa hadharani ndani ya nchi yangu. Nakumbuka nilisoma maazimio ya
>> Mwanza, lakini hii imenistua sana. Kama tunamwomba Mungu basi tuongeze
>> nguvu, kama hatuombi basi tuanze. Kwa mtindo huu, ninawasiwasi na amani ya
>> Tanzania ambayo tumejivunia miaka hamsini sasa. Mliopata neema ya kupata
>> nafasi za juu
>> > > serikalini, sijui serikali inayaonaje mambo haya. Hayajaanza leo, ila
>> imeyaachia yaendelee. Makanisa yanazidi kuchomwa, hakuna msikiti uliwahi
>> kuchomwa kama sijakosea. Wakristo wanavamiwa na kupigwa, hakuna mhadhara wa
>> Waislamu uliwahi kuvamiwa. Redio Imani na magazeti ya Kiislamu (mfano
>> Al-alnuur) yanazidi kumwaga sumu ya udini, na ubaguzi, na chuki, lakini
>> sijawahi kusikia vyombo hivi vikikemewa. Huu, ukimya wa serikali na vyombo
>> vyake, sijui maana yake ni nini? Sumu hii ikiishapandwa kuing'oa ni kazi.
>> Jamaa hawa walifanya mambo yao sirini tangu enzi za Mwinyi, na sasa,
>> wameamua kuyaweka wazi na kuhamasisha Watanzania waziwazi tuuane. Haiingii
>> akilini mwangu. Je, viongozi wetu wa dini wanazo taaarifa za kutosha kuhusu
>> mambo haya? Wanachukua hatua gani? Je, sisi tuchukue hatua gani? Shehe
>> Ilunga Hassan ndiye niliyeweza kumsikia. Ameongea mambo mengi, lakini yote
>> ni ya kupandikiza chuki ndani ya Watanzania. Ameanza kwa kutoa pongezi kwa
>> kile Waislamu
>> > > walichokifanya huko Mto wa mbu (Arusha) kwa kuwapiga wachungaji, na
>> kuwajeruhi, nk. Amesisitiza kuwa Tanzania inaongozwa na mfumo Kristo. Na
>> sasa umefika wakati mfumo huo uondolewe na hiyo ndiyo itakuwa pona ya
>> Waislamu. Serikali inaongozwa na maaskofu. Wao ndiyo wanaweza kumwambia
>> rais tunataka hiki au la. Amesisitiza kuwa amani tunayoiona TZ ipo kwa
>> gharama ya Waislamu. Umefika wakati Waislamu waseme basi kwa mfumo Kristo
>> ili na Wakristo wabebe gharama ya amani hii. Ametoa takwimu kuwa mwaka 1992
>> Serikali iliingia mkataba na Wakristo, na tangu hapo imekuwa ikitoa fedha
>> za kuwaendeleza wao huko Waislamu wakibaki nyuma. Kwa mfano, mwaka 2009,
>> serikali imetoa bilioni 45, mwaka 2010 bilioni 54, na mwaka huu kwa miezi
>> miwili hii na siku imekwisha toa bilioni 611, zote hizi zikiwa ni
>> kuwaendeleza Wakristo. Wakati serikali ikifanya hayo yote, Waislamu
>> wameachwa nyuma na watoto wao wamezidi kuwa wamachinga huku watoto wa
>> Wakristo wakiendesha baiskeli za
>> > > kizungu na kufurahia beach. Amesema ifike mahali Waislamu waamue kama
>> walivyofanya Wahutu dhidi ya Watutsi. Ati Kikwete hawezi kuongoza nchi bila
>> maaskofu, maana kila analotaka kufanya lazima awaone. Amesema kuwa Chama
>> cha kususa na maandamano kipo tu kwa ajili ya maslahi ya Wakristo. Waislamu
>> wanadanganywa wakidhani hicho chama kipo kuwatetea WaTz kumbe kipo kwa
>> ajili ya Wakristo. Makafiri wanasaidiana wao kwa wao hivyo waislamu waamke,
>> waungane hili kuuondoa m

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment