Matinyi!! Kama upo makini kidogo utaona hilo darasa lipo katikati ya majengo mawili ya kisasa ambayo sina uhakika kama yamekamilika.Kwangu hii inatoa picha kuwa pamoja na hali hiyo kuna mchakato wa kuondokana na hali hiyo.Sina uhakika unamaanisha nini unaposema "Afrika tumelaaniwa nini sijui?"katika muktadha wa picha hiyo!!!Any way juhudi zipo japo kwa mwendo wa pole sana.Kila mtu na awajibike kwa nafasi yake kwa kutumia rasilimali chache zilizopo tutaona changes kubwa tu.Tukiendelea kusubiri "wajomba" [donors] wakohoe ndio tufanye maendeleo tutaendelea kulaumu na kulaumiana kama sio kujilaani siku zote. Nawasilisha. ______________________________ A D D R E S SWithout "Ethical Culture" there is No Salvation for Humanity ______________________________ John J. Malata Vikindu Teachers` Training College. P.O Box 16268 DAR ES SALAAM TANZANIA Mobile: +255 754 351 868 Altenative e-mail: malata_3@live.com Blog:http://pengotz.blogspot.com/ --- On Sat, 9/8/12, Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com> wrote:
|
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment