Mh. HK,
Yona atakupotezea muda wako bure!!!
From: "hkigwangalla@gmail.com" <hkigwangalla@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, September 18, 2012 1:48 AM
Subject: Re: [wanabidii] MADAKTARI WAMWOMBA RADHI RAIS NA WATANZANIA
Yona, mi ninashaka sana na ulichokiandika hapa maana nimo kwenye eGroup ya madaktari inayokwenda kwa jina la muxalumni na sijaona kitu kama hicho...ama hii ni propaganda inayolenga kuwatawanya kabisa wanafani hawa???! Nakushauri uwe makini sana na kuwachokonoa maDk ambao bado wana majeruhi mioyoni mwao na wengine wameacha kazi kwa hasira. Fahamu kuwa propaganda hazisaidii sana kutatua tatizo la huduma mbovu za afya nchini...wewe si Mbunge wala mtafiti wa mfumo wa afya kama nilivyo mimi, naomba nikuelimishe tu kuwa 'kuna tatizo kubwa kwenye mfumo mzima wa afya nchini' na ufumbuzi si siasa, vitisho ama propaganda kama hizi! Wanaoumia si wewe na mimi na familia zetu, wao wahanga halisi, ambao hawaandiki emails za props kama zako!
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
-- Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
From: ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Mon, 17 Sep 2012 15:29:58 -0700 (PDT)
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] MADAKTARI WAMWOMBA RADHI RAIS NA WATANZANIA
Kama ni kweli basi hili ndilo kosa. Kuwaomba msamaha watanzania kwa kuwa walifanya kosa la kuwatafutia mazingira bora ya kutibiwa wanayonyimwa na mipango mibaya na wanasiasa. --- On Mon, 9/17/12, Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
|
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment