Monday 17 September 2012

Re: [wanabidii] MADAKTARI WAMWOMBA RADHI RAIS NA WATANZANIA

Kama ni kweli basi hili ndilo kosa.
Kuwaomba msamaha watanzania kwa kuwa walifanya kosa la kuwatafutia mazingira bora ya kutibiwa wanayonyimwa na mipango mibaya na wanasiasa.

--- On Mon, 9/17/12, Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:

From: Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Subject: [wanabidii] MADAKTARI WAMWOMBA RADHI RAIS NA WATANZANIA
To: "Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, September 17, 2012, 9:49 AM

Ndugu zangu

Nasikia Baadhi ya madaktari waliokuwemo kwenye mgomo wamewaomba radhi
watanzania na rais wa tanzania mhe jakaya mrisho kikwete kutokana na
mgomo uliotokea .

Mimi kama mtanzania nimewasamehe na nawatia moyo waendelee na kazi zao
kama kawaida na wale waliofunguliwa mashtaka mbalimbali yanayohusiana
na mgomo , wafutiwe kesi hizo warudi makazini na hata wale wanafunzi
pia wasamehewe warudi makazini kama kawaida .

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment