Tuesday 18 September 2012

RE: [wanabidii] Lake Manyara National Park eti iko Kenya ? ! ! !

Corrections: 

Cockpit isomer flight deck. Matinyi mara ya mwisho kutumia KIA ilikuwa lini? runaways zimechoka, kuna mashimo na mipasuko, na waiting lounges ni tabu tupu, baa ni kama vile magofu, lakini tupo, tumejaa tele na tunasonga mbele!

--- On Tue, 9/18/12, Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com> wrote:

From: Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
Subject: RE: [wanabidii] Lake Manyara National Park eti iko Kenya ? ! ! !
To: "Wanabidii googlegroups" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, September 18, 2012, 8:35 AM


Dokta, tatizo ni kubwa zaidi - hao waliotangaza hapo ni Waafrika Kusini. Yaani mambo yamefikia kwamba yeyote tu anaweza kusema kitu fulani ni cha Kenya - ingawa nahisi hawa watu waliokota hizi habari Kenya. Na kwa ubwege tunaendelea kufungua milango ya utalii.
 
Mawakala wote wa Afrika Kusini wanatumia uwanja wa Nairobi kufikia na kuondokea. Kuna faida gani ya sisi kuwapigania hawa watu kupata uhuru?
 
Cha ajabu ni kwamba KIA ipo pale.
 
 
 

Subject: Re: [wanabidii] Lake Manyara National Park eti iko Kenya ? ! ! !
To: wanabidii@googlegroups.com
From: hkigwangalla@gmail.com
Date: Tue, 18 Sep 2012 20:21:13 +0000

Duh! They are just smarter business people these 'aggressive' Kenyans unlike 'slow' Tanzanians (as they always call us)...nobody in the Kenyans gov would actually tell the business people in the tourist sector to advertise as they do but they improvise to attract more clientele towards Kenya...

Tanzanians have to change our mindsets...and promote and nurture talents than kill and discourage them...eti sisi tunadhani vipaji vipo kwenye sanaa tu kumbe hata kwenye uongozi na ujasiriamali - na hivi ni vya muhimu zaidi given their impact esp kwenye multiplier effect!
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

From: "wkihigwa@yahoo.com" <wkihigwa@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tue, 18 Sep 2012 17:11:33 +0000 (UTC)
To: <wanabidii@googlegroups.com>; <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Lake Manyara National Park eti iko Kenya ? ! ! !

Mi nashaa tunakazana eti tupo tayari kupigana na Malawi kugombania Ziwa Nyasa wakati kuna vitu tunavyo tayari ni vya kwetu wala si vya utata wa mpaka tunawaacha walio nje ya nchi waangie na kufaidi. Nilitarajia kwa njisi wakenya wanavyotumia vibaya ujirani mwema Waziri Membe angekwisha kutoa kauli kukemea tabia hii ya nchi ya jirani kudai baadhi ya rasilimali zetu eti ziko nchini kwao.

Tukitoa kauli ya kulaani hiyo tabia najua itawasumbua na watafikiria mara mbili kabla ya ku-claim na kuwatapeli watalii kwa kuwavusha mipaka bila wao kujua

William Kihigwa


Mobhare Matinyi wrote:

Jamani Watanzania tunazidi kuwa nchi ya mabwege huku wenzetu wakivuna tu...............

.......Soma hapo chini eti Lake Manyara National Park iko Kenya? Hii safari inaanzia Nairobi na kuishia Nairobi na hawa watu wanaletwa Tanzania na kuambiwa kuwa Lake Manyara iko Kenya.............................................

8 day Majestic Wildlife Migration Safari Package

Amboseli Serena Safari Lodge, Kenya.

Places you will visit: This East Africa package includes: Amboseli Serena Lodge, Amboseli National Park, Lake Manyara Lodge, Lake Manyara National Park - Kenya, Serengeti Sopa Lodge, Serengeti National Park, Ngorongoro Sopa Lodge, Ngorongoro Crater - Tanzania.
Suitability: This package is excellent for guests wanting to enjoy a full, rewarding safari through the highlights of Kenya and Tanzania.
Note: Based on arrival and departure from Nairobi.

http://www.eastafrica.co.za/Vacation_Packages-travel/8-day-wildlife-migration-safari-package.html

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
  

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment