Wednesday 19 September 2012

Re: [wanabidii] Harambee Ya Mjane Wa Mwangosi; Waliochanga Na Kiasi Kilichopatikana...

Wanamabadiliko,
 
Kama kwa chama kuchangia inaonekana ni kujinadi kwenye misiba na watu binafsi walioweka majina yao nao tuwatafsiri kuwa wanajinadi? Come on people, tuko better than that!
 
Yametokea majanga kibao hapa ya kitaifa na vyama mbalimbali vilitoa michango yao na hata nchi mbalimbali zilitoa michango yao, what was wrong with that? Huko kote ni kujinadi? kama kujitambulisha ndio kujinadi kila entry ya mchango ingekuwa "anonymous" ili tusione kuwa wanajinadi. Tuacheni ku-blow vitu out of proportions bila sababu za msingi.
 
Kuwarudishia kichango yao wana CHADEMA ni kutoitendea haki familia ya marehemu. Maggid asiwe kwenye position ya ku-make rules on behalf of the family, let the family yenyewe iamue what they want to do!!!!

2012/9/19 mngonge <mngonge@gmail.com>
Ndugu wanabidii
Kama kuna chama au taasisi kina lengo la namna hiyo ya kujinadi kwenye
msiba basi nadhani hapo patakuwa si mahala pake. Itabidi iandae
mkutano au itafute njia nyingine ya kufanya hivyo. Nafikiri kwa leo
umeiweka hoja yako vizuri na ndo nimukuelewa. Na kama ungeiweka hivyo
tangu mwanzo nisingekuwa na neno.

Ukirejea maelezo ya mwanzo ya ndugu Kilima utagundua kwamba alihusisha
kutambulishwa kwa taasisi au chama katika michango ya msiba ni
kujinadi kitu ambacho hakikuwa sahihi. Na ndiyo maana nilimuuliza
kwamba je kama michango imetolewa na jumuiya au chama unataka iandikwe
kwa jina gani? anonymous au nini maana ata watu wengi waliochangia
wameandikwa majina yao, hao nao wanataka kujinadi? Au Mjengwa mwenyewe
aliyeanzisha michango hiyo naye anajinadi? Swala la kuonyesha kwamba
mchango umetolewa na chama fulani au taasisi fulani linausishwaje moja
kwa moja na kujinadi? Huoni kwamba uwazi na ukweli kwenye michango
hiyo utakuwa hauridhishi endapo michango haitajulikana nani katoa
nini?

Unless chama hicho au taasisi hiyo ilielekeza kwamba inafanya hivyo
kwa lengo la kujinadi na kama kipo chama au taasisi ya namna hiyo mimi
ninasema si swala la kutoandika jina tu bali hata huo mchango
usipokelewe kabisa. Hoja yako ya kumuunga mkono Mjengwa kwamba chama
hakitatambulishwa jina ina kasoro hiyo.  Inawezekanaje ujue kwambva
CHAMA FULANI KINATAKA KUJINADI KWA DAMU YA MTU alafu ukubali mchango
wake basi wewe na hicho chama mtakuwa ni walewale. Namalizia kwa
kusema swala la kutojua nani kachanga nini linaweza kuwa kikwazo
katika kufanikisha zaidi zoezi la michango. Ata kwenye daftari za
misiba mtaani uwa tuna daftari ambako kila anayetoa rambirambi uandika
jina

On 9/19/12, kailima kombwey <kailima.kombwey@googlemail.com> wrote:
> Ndugu Mgonge.
>
> Kabla hujaanza kujibu chochote ni busara na hekima kufanya marejeo ya hoja
> unayotaka kuchangia.
>
> Mratibu wa Michango alishatoa msimamo kwamba hataweka utambukisho wa Chama
> au Taasisi yoyote kama wachangiaji. Mzee Lwaitama  aliandika makala kuhusu
> suala la kutokuonesha itiadi ya kidini au kichama kwenye uchangiaji huo.
> Nami nilisema kama kuna Taasisi ya dini au chama kitaona hakitakuwa
> kimetendewa haki kwa kutotambulishwa kama dini fulani au chama fulani
> kwenye kuwasilisha michango basi kione namna nyingine ya kuiwasilisha
> michango hiyo ili kijinadi. Sijasema chama kipi au dini ipi. Nashauri
> "strongly" kwamba ninaunga mkono msimamo wa Mjengwa kuwa KUSIWEPO KWA AINA
> YOYOTE YA UTAMBULISHO WA DINI AU CHAMA ambaye haridhiki anaweza kutafuta
> njia ambayo yeye anaona inafaa ili aweze kujimwaga na kujinadi Imani yake
> ya dini au chama chake kadri atakavyo.
>
> Mimi siyo mwanachama na sitaki kuwa mwanachama.
> On Sep 19, 2012 8:15 AM, "mngonge" <mngonge@gmail.com> wrote:
>
>>  Kailima
>> Inaelekea wewe ndo unataka umaarufu kwa damu ya watu, ilikuwaje uanze
>> kuliona swala la jina la Chama cha siasa badala ya kuujadili nani
>> kachanga. Kwa sasa si nia yetu kujadili nani kachanga kwa nia ipi?
>> Kwani ulikuwepo kwenye vikao vyao vya mchango na kujau nia yao ya
>> kutoa mchango?
>>
>> Mr. Mjengwa naona ata wewe umefuata nyayo za Kailima, hao walioomba
>> kurudishiwa mchango wao sioni ni kwa nini umewarudishia? Nahisi
>> wamechukizwa na maneno ya kailima kwamba wanatafuta umaarufu kupitia
>> damu ya mtu. Ili ni tusi kubwa sana na nina wasiwasi wameghaili.
>> Kailima ana mtazamo wa itikadi za kisiasa na kaona wivu kwamba hao
>> jamaa watajijenga kisiasa. Sisi hatutajali kama ata yeye ataamua
>> kutuchangia kwa jina la chama chake tutazipokea tu. Milioni moja si
>> haba ni ela ambayo ingeisaidia familia ya Mwangosi mambo mengi sana.
>> Itaniuma sana kama tutazikosa.
>>
>> Mr. Mjengwa ninakuomba ufikilie upya swala la kukataa kuandika jina la
>> chama au taasisi na kuliacha kwa mchangiaji aamue yeye kama anataka
>> jina liandikwe au la. Tusiikose michango kisa jina la chama
>> lisionekane kwa kumuogopa Kilima ambaye ata sina uhakika kama
>> amechanga na ana nia gani na familia ya Mwangosi. Yawezekana ana chuki
>> binafsi na familia ya Mwangosi. Maana itafika mahala ata wewe
>> utaambiwa unajipendekeza kuendesha harambee ili utangaze jina lako kwa
>> damu ya Mwangosi.
>>
>> usiwe na hasira na kutoa uamuzi kwa sababu za wachache ambao hatujui
>> wana nia gani
>>
>>
>>
>>
>>
>>
>>
>> On 9/18/12, Lutgard Kagaruki <lutgardk@yahoo.com> wrote:
>> > Kwani michango ya wana CHADEMA UK ni kweli inawakilisha Umoja wa
>> Watanzania
>> > UK? Kwa nini ukweli usisemwe? Mbona waliochanga wengi majina yao
>> yametajwa?
>> > LKK
>> >
>> >
>> >
>> >
>> >
>> > ________________________________
>> >  From: kailima kombwey <kailima.kombwey@googlemail.com>
>> > To: wanabidii@googlegroups.com
>> > Sent: Tuesday, September 18, 2012 9:41 AM
>> > Subject: Re: [wanabidii] Harambee Ya Mjane Wa Mwangosi; Waliochanga Na
>> Kiasi
>> > Kilichopatikana...
>> >
>> >
>> > Wanataka umaarufu kupitia damu ya mwanadamu? Mambo ya ajabu sana. Kwa
>> hiyo
>> > walikuwa sokoni wanauza jina la chama chao na siyo kutoa mchangovkwa
>> ajili
>> > ya mjane!!!!! Ama kweli ukistaajabu ya musa utaona
>> > ya.....................!!!!!
>> > On Sep 18, 2012 9:35 AM, "maggid mjengwa" <mjengwamaggid@gmail.com>
>> wrote:
>> >
>> > 1. Chris Cremence                                     100,000
>> >>2. Anonymous                                             500,000
>> >>3. Maggid Mjengwa
>> >>
>> >>100,000
>> >>4. Raymond Kasoyaga                                   20,000
>> >>5.Edward Mgogo                                            10,000
>> >>6.Joachim Kiula                                                5,000
>> >>7.Libory Muhanga                                             5,000
>> >>8.Geofrey Kagaruki                                        10,000
>> >>9.Sadiki Mangesho                                         10,000
>> >>10. Edwin Namnauka                                      40,000
>> >>11.Daud Mbuba                                               10,000
>> >>12. Anonymous                                             200,000
>> >>13.Mikidadi Waziri                                              6,000
>> >>14. Bungaya Mayo                                             5,500
>> >>15. Abraham Siyovelwa                                    50,000
>> >>16. Godfrey Chongolo                                       22,222
>> >>17. Jacob Mwamwene                                       51,000
>> >>18. Denis Bwimbo                                        153,683
>> >>19. Zanzibar Ni Kwetu                                     150, 464
>> >>20.Felex Mpozemenya                                       10,000
>> >>21.Rweyendera Ngonge                                     11,000
>> >>22. Festo Temu
>>  10,000
>> >>23.  Azaria Mulinda
>> 10,000
>> >>24.Khatibu Kolofete
>> >> 5,000
>> >>25. John Bukuku                                                  25,000
>> >>26. Abel
>> >> 10,000
>> >>27. Hafidh Kido
>> 10,000
>> >>28. George Mtandika                                            16,000
>> >>29. Shy-Rose Bhanji                                          200,000
>> >>30. Raymond Nkya                                               52,000
>> >>31. Maganga Sambo                                             10,000
>> >>32. Felix Mwakyembe                                             10,000
>> >>33. Abdul Diallo
>> >> 5,000
>> >>34.  Newton Kyando                                              20,000
>> >>35. Galanos Myinga                                               20,000
>> >>36. Anonymous ( 200 Euro)                                    497,000
>> >>37.   Yasinta Ngonyani
>>  50,000
>> >>38.  Prosper/ Willy  ( Japan)
>> >> 314,000
>> >>39.   Nuru Mkeremi
>> >> 131,000
>> >>40. Anonymous
>> >> 50,000
>> >>41.  Josephine Mahimbo
>>  50,000
>> >>42.  Anonymous
>> >> 150,000
>> >>43. Heladius Macha
>> >> 30,000
>> >>44. Emma Malele
>> >> 10,000
>> >>45.  Anonymous
>> >> 60,000
>> >>46. Hendry Mlay
>> >> 35,000
>> >>47. Hosea Ngowi
>> >> 10,000
>> >>48. Athuman Zuber
>> >> 5,000
>> >>49. Hyancinth Komba
>> >> 7,500
>> >>50. Edson Kihongole
>> >> 11,500
>> >>51.  Godfrey Emmanuel
>> >> 20,500
>> >>52.  Deus  M
>> >>    27,000
>> >>53.Sigisto Amon
>> >>  10,000
>> >>54.Issa Kubonya
>> >>  10,000
>> >>55. Richard Dalali
>> >>      6,000
>> >>56.Fadhili Mtanga
>> >>  20,000
>> >>57.  Polycarp Ngowi
>> >>    5,000
>> >>58.  Salehe Mfaume
>> >> 10,000
>> >>59. Deodatus Balile
>> >>   20,000
>> >>60. Moses Ringo
>> >>    15,000
>> >>61. Dr Rukoma
>> >> 100,000
>> >>62. Mobhare Matinyi
>> >> 100,000
>> >>63. Humphrey Simba
>> >> 16,000
>> >>64. Fredrick Kyambile
>> >> 10,000
>> >>65.John Mwakyusa
>> >> 20,000
>> >>66. Abdul Njaidi
>> >>       40,000
>> >>67. Fidelis Francis
>> >>       10,000
>> >>68.Mutachumwa Mukandala
>> >> 10,000
>> >>69. Augustino Lukosi
>> >>    12,500
>> >>70. Goodluck Arobogast
>> >>  20,000
>> >>71. Lusajo Mwasaga
>> >>    15,000
>> >>72. Carolina Reynolds
>> >>        5,500
>> >>73. Rugenamu Kawa
>> >>   30,000
>> >>74. Innocent Kimario
>> >>          5,000
>> >>75.  Jumuiya Ya Watanzania UK
>> >>          1,000,000
>> >>76. Josephat Mwagala
>> >>        150,000
>> >>77. Sara Mawere
>> >>                 5,000
>> >>78.  Deograsias Hyasini
>> >>        15,000
>> >>79. Anonymous
>> >>          10,000
>> >>80. Said  Kambi
>> >>            20,000
>> >>81. Cassian Mayega
>> >>        10,000
>> >>82. Mary Glad
>> >>                  5,000
>> >>83. David V
>> >>               153,000
>> >>84. Anonymous
>> >>            100,000
>> >>85. Lingson Adam
>> >>              21,500
>> >>86.  Augustus Fungo
>> >>             25,000
>> >>87.Seka Henjewele
>> >>                5,000
>> >>88.Deusdith Bishweko
>> >>               5,000
>> >>89.Robert Clemens
>> >>              10,000
>> >>90.Isak Kabingo
>> >>                   10,000
>> >>91.Irene Massawe
>> >>                 10,000
>> >>92. Oliva Bujulu
>> >>                      11,000
>> >>93. John Lemomo
>> >>                   10,000
>> >>94.  Joseph Rocket
>> >>                         500
>> >>95. Prosper Simon
>> >>                       5,500
>> >>96  Andy Mwakibete
>> >>                     2,000
>> >>97. Ramadhani Kasonso
>> >>              20,000
>> >>98. Anonymous
>> >>                     11,000
>> >>99.  Jenga Ngalawa
>> >>                  200,000
>> >>100.Stanslaus Nnyari
>> >>                       5,000
>> >>101.Luth Twissa
>> >>                          75,000
>> >>102. Mdodi Mlelwa
>> >>                            2,000
>> >>103. Hatibu Kiobya
>> >>                           5,000
>> >>104. Benjamin Mkalava
>> >>                       5,000
>> >>105. Manfred Mjengwa
>> >>                     11,000
>> >>106. John Malanilo
>> >>                           12,000
>> >>107. Lutgard Kokulinda Kagaruki
>> >>                 20,000
>> >>108. Kazikupenda Chale
>> >>                       25,000
>> >>109. Boniface Sechuma
>> >>                       10,000
>> >>110. Edmund    Temu       5,000
>> >>111. Edwin Moshi            5,500
>> >>112. Syldion Semazina      5,000
>> >>113. Pastoc Shelutete        50,000
>> >>114.  Ananilea Nkya          50,000
>> >>115.  Lucy Bwana              21,000
>> >>116.  William Genya           25,000
>> >>117. Anonymous               300,000
>> >>118. Adam Bakari                21,000
>> >>
>> >>
>> >>Jumla:                                                   5,000,000   (
>> >> Shilingi  Milioni Tano )
>> >>
>> >>TAARIFA MUHIMU:  Wachangajiaji niliowatambulisha hapa kama ' Jumuiya Ya
>> > Watanzania UK'  wameomba mchango wao wa shilingi milioni moja na kumi
>> > na
>> > tano elfu na mia tano urudishwe kwao ili wauwakilishe wenyewe kwa mjane
>> wa
>> > marehemu kwa vile mchango wao ulipaswa utambuliwe kuwa umetoka
>> > kwenye chama   chao cha siasa tawi la huko UK.   Mimi, kama mratibu wa
>> > harambee hii nitatekeleza ombi lao, na nawaomba radhi wahusika waliotoa
>> > mchango kwa usumbufu wowote niliousababisha. Mjengwablog itaendelea na
>> > utaratibu wa kukusanya michango yenu bila kuweka utambulisho wa rangi
>> > za
>> > vyama vya siasa kwa wachangiaji.
>> >>Wenu,
>> >>Maggid Mjengwa, ( Mratibu)
>> >>0788 111 765
>> >>
>> >>
>> >>Unaweza kuchangia kwa kutumia; M-Mpesa, Tigo  Pesa, Airtel Money au NMB
>> >  Mobile. Kwa namba 0754 678 252, 0712 95 61 31,  0788 111 765 ( Kwa
>> > walio  nje mnaweza kutuma kwa Western Union, jina la  mpokeaji- Maggid
>> > Mjengwa,  Tafadhali nijulishe kama utatuma kwa njia ya  Western Union )
>> > -
>> >  Mwisho wa kukusanya michango yenu ni Septemba 30, 2012.
>> >>
>> >>http://mjengwablog.com
>> >>
>> > --
>> >>Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> >>Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> >>Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> >>
>> >>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> >> ukishatuma
>> >>
>> >>Disclaimer:
>> >>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >> must
>> >> be presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> Guidelines.
>> >>
>> >>
>> >>
>> > --
>> > Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >
>> > --
>> > Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> > Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> > Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >
>> >
>> >
>>
>> --
>> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>
>>
>>
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Wasalaam
 
Denis Matanda,
Mine Supt,
Nzega - Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment