[wanabidii] Re: MAMBO YA MSINGI YA KUCHANGIA KATIKA KATIBA
Ni rahisi sana kulaumu jambo likiharibika,lakini jiulize,je wewe watenda wajibu wako kwa wakati mwafaka.Changia maoni yako katika katiba.Panua mtazamo wako kwa kusoma haya pia Regards,Ngupula.
0 comments:
Post a Comment