Tuesday 14 August 2012

Re: [wanabidii] WATANZANIA WASUSIA MKUTANO WA CHADEMA LONDON

Hao wanaoenda nje ya nchi (CHADEMA&CCM)
wanatafuta shekels kufanikisha agenda ya kuwafikia wananchi. Kwa hiyo tusishangae pale tunapoyaona haya.

Kimsingi hawa jamaa wana haki ya kuchangia maadamu wanajua kuwa chama kinachochangiwa kinaenda vijijini 
kupeleka itikadi zao kwa wanachi


From: Gwa Ntegeye <gwantegeye@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, August 14, 2012 12:02 PM
Subject: Re: [wanabidii] WATANZANIA WASUSIA MKUTANO WA CHADEMA LONDON

Ila hata mimi sielewi umuhimu wa matawi nchi za nje maana hata ikiwa
nchi nzima  ya nje inaunga mkono lakini sioni kama hawana mchango
katika upigaji kura haina maana yoyote.

anyway kama kuna mtu ana muono mzuri kuhusu huo uhusiano wa jamii za
nje atuambie.

On 8/14/12, Laurean Rugambwa B. <rugambwa@hotmail.com> wrote:
> Rehema,
> Asante kwa hii taarifa ulotuwekea hapa.
>
> Mimi sijawahi kuelewa kwanini watu wahangaishwe na watu wasio piga kura.
> Hayo matawi wanayofungua Chadema au CCM London, Washington ni public
> relations tu, haiongezi kura.
>
> Wapiga kura wako Kishapu, Meatu, Karagwe, Bahi nk. Hao ndo wakikuzomea
> unapata taabu kidogo.
>
> Kazi njema,
> LR
> Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
>
> -----Original Message-----
> From: Rehema Kikwete <rehemaki@gmail.com>
> Date: Tue, 14 Aug 2012 08:40:59
> To: <wanabidii@googlegroups.com>
> Subject: [wanabidii] WATANZANIA WASUSIA MKUTANO WA CHADEMA LONDON
>
>
> Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimepata aibu ya mwaka hapa
>  jijini London baada ya Watanzania kususa kuhudhuria mkutano wao
>  waliofanya katika Bar imilikiwayo na Wakenya ya The Thatched House.
>
>  Sababu nyingi zilizotajwa ni pamoja na urafiki mkubwa na kukubali kila
>  sera ya Chama Tawala cha Uingereza cha Conservative ambacho
>  kinachukiwa na Waingereza wenyewe kwa sera za kulazimisha zilizoleta
>  hali mbaya ya maisha na umaskini nchini hapa.
>
>  Aidha ni Chama kilichoilazimisha serikali kuwabagua na kuwafukuza
>  Watanzania wengi waliokuwa wakiishi Uingereza na kuwarudisha Tanzania
>  kwa Aibu kubwa huku wakiacha mali zao nyuma.
>
>  Maandalizi ya mkutano wa Chadema pia yaliwachefua Watanzania wengi na
>  kukataa kushiriki kwa kuwa yalichangiwa na kufanywa na baadhi ya watu
>  wenye kudhaniwa kwa muda mrefu kuhusudu tabia za USHOGA na USAGAJI
>  wakati ambapo Watanzania wengi hawajapona kidonda kilichotibiwa kwa
>  mabavu na serikali ya CCM wakati iliposhinikizwa kukumbatia utamaduni
>  wa USHOGA na serikali ya Conservative au isahau misaada ya maendeleo
>  ya kitaifa. Chadema katu haikupinga shinikizo hili la rafiki zao
>  Conservative.
>
>  Aidha waandaaji wakuu wa mkutano huo iliwajumuisha wakurugenzi wakuu
>  wa SERENGETI FREIGHT, kampuni inayojishughulisha na usafirishaji wa
>  mizigo kwenda Tanzania na kwingineko. Kampuni ya Serengeti imekuwa
>  ikilaumiwa na kushutumiwa sana siku hizi kwa kutokusema ukweli kwa
>  Watanzania kuhusu muda, gharama za ghafla na uhakika wa usafirishaji
>  wa mizigo ya Watanzania ambao wengi wameishia kulipa gharama kubwa za
>  ziada, ucheleweshwaji au kuamua kuacha mizigo dhidi ya muda
>  uliokubalika. Kuhusika kwa Wakurugenzi hawa kuliongeza uchungu kwenye
>  kidonda kibichi.
>
>  Baadhi ya Watanzania waliokuwa wakijiburudisha ndani ya Bar hiyo na
>  kuangalia mashindano ya Olyimpic walimrushia Bw. Lema maswali ya
>  kebehi na kumzomea pia na kusema.. "Gwanda linanuka RUSHWA meku"..huku
>  wengine wakitoa kadi zao za CCM na kunyanyua juu.
>
>  Katika mahudhurio hayo machache,idadi kubwa walikua ni wanaCCM
>  waliohudhuria kwa makusudi na wengine kuchangia kwenye mkutano huo.
>  Baada ya mkutano vicheko vya kebehi vilisikika na kuambatana na kauli
>  kama ".jamaa wanabwabwaja tu hawawezi hata kujenga hoja.wanafikiri
>  hapa ni walipotoka..ovyoo."
>
>  Ikitarajia kufuata nyayo za CCM UK itabidi Chadema waombe miujiza ya
>  aina yake kupata wachama na si washabiki tu katika maeneo tofauti ya
>  UK ili itoke kwenye sura ya Kijikundi. CCM UK ilifanikiwa kufungua
>  mashina katika miji/majiji kumi hapa UK.
>
>  Habari hii imeandikwa na Rukia Kilemile
>   Mwandishi huyu ni  mchambuzi wa sera za jinsia na uchumi hapa United
>  Kingdom.
>
>  Mwandishi si mwana chama wa chama chochote cha siasa.
>
>  --
>  Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com <http://www.mwanabidii.com>
>  Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> <http://www.kazibongo.blogspot.com>
>  Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
> <http://www.patahabari.blogspot.com>
>
>  Kujiondoa Tuma Email kwenda
>  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
>  Disclaimer:
>  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.




0 comments:

Post a Comment