Juma,
Kuna hoja kwamba hata wabunge wenye PhD wanatumia akili zao kama watoto wa darasa la pili. Tukishakuwa jamii ya wala rushwa, mwenye elimu kubwa anaonekana kama tatizo na wenye elimu kubwa inabidi washuke wawe kama darasa la saba. Mbunge mmoja anaitwa Msigwa ndiye aliyetoa huo usemi wa PhD na darasa la pili na kisha akaongeza kuwa: Tumefikia mahali tunaruhusu akili ndogo itawale akili kubwa. Ukienda kwenye tovuti ya Bunge utapata orodha ya wabunge wetu wote ila tatizo ni kwamba wengi wa wasiokuwa na elimu wameacha bila kujaza kitu kweny wasifu wao; na wenye elimu za mashaka nao wameminya; halafu wapo wenye elimu kubwa ambao wameogopa kuziwekwa kwa sababu watajijengea maadui. Kuna mtu kule Jamii Forum amedai kuwa Hamisi Kigwangalla ameshindwa na Said Mtanda kutonana na kujitangaza kama msomi. Ndiyo Tanzania hiyo - nchi ya mabwege; sisi ni mabwege kweli, siyo utani.
Matinyi.
Subject: Re: [wanabidii] WABUNGE WA TANZANIA WASIOKUWA NA DEGREE
To: wanabidii@googlegroups.com
From: rwechungura_nestory@yahoo.com
Date: Mon, 13 Aug 2012 09:03:20 +0000
Kwa bunge la sasa hivi degree inasaidia nini?
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
From: weston mbuba <matutetz@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Mon, 13 Aug 2012 01:42:52 -0700 (PDT)
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] WABUNGE WA TANZANIA WASIOKUWA NA DEGREE
Ili iweje? --- On Sun, 8/12/12, Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com> wrote:
|
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment