Saturday 25 August 2012

Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge

Ernest,

Very shallow interpretation! Jitahidi kidogo tu...itathaidia thana thana!

Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.

From: Ernest Mmbaga <emmbaga@hotmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sat, 25 Aug 2012 19:05:48 +0000
To: wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>; <elisamuhingo@yahoo.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: RE: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge

Hivi  kumbe  Hizi  hoja  zinazojadiliwahapa ni za  kukidhi  ladha!!!   na  sio  tafakuri  na hatimae  kufanyiwa  kazi!!!   kama  ndivyo  , Then ni  upuuzi  basi  kupoteza  muda  wa  kujadili ili  kukidhi  ladha !!!!

Ernest



From: mnyamoga@live.com
To: wanabidii@googlegroups.com; elisamuhingo@yahoo.com
Date: Sat, 25 Aug 2012 16:56:42 +0000
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge



----------
Sent from my Nokia phone


-----Original Message-----
From: ELISA MUHINGO
Sent: 8/25/2012 4:45:07 PM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge


--- On Fri, 8/24/12, Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk> wrote:

From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, August 24, 2012, 4:38 AM

Edgar,

There is always a reason! I am may be busy than many of u, but still get time to respond spontaneously. If this is trend then busy people shud not post and disappear, they shud become gud readers only!

Hoja inamaliza radha isipojibiwa na mie ndo maana nimesema aendelee!
Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.

From: Edgar Mbegu <embegu@hotmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Fri, 24 Aug 2012 11:24:45 +0000
To: Wanabidii Mawazo<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: RE: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge

Tonny,
Simtetei TL lakini kuchukua wiki nzima kujibu si hoja as people may have other more important things to do!
 

Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
To: wanabidii@googlegroups.com
From: tony_uk45@yahoo.co.uk
Date: Fri, 24 Aug 2012 11:20:07 +0000

TL

Naona sielewi kweli, wewe ndio unaelewa ingawa imekuchukua wiki nzima kujibu (research)!

Haya uendelee salama!
Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.

From: Tundu Lissu <lissubulali@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Fri, 24 Aug 2012 01:55:38 -0700 (PDT)
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge

Tony,

Umerudia kadhaa kwamba 'hufadhiliwa' kutoka nje ya nchi, sio endelevu, etc. Japokuwa husemi in so many words, maana ni kwamba wanaharakati ni watu wanaotumiwa na outside interests kwa maslahi ya hizo interests za nje. Narudia kusema kwamba uelewa wako wa historia ya Western liberal democracies ni shaky sana. Liberal democracies are founded on violent revolutions. Mfano mzuri ni parliamentary democracy ya Uingereza ilivyotokana na, inter alia, 'Mapinduzi Matakatifu' ya mwaka 1688, ya Wafaransa ilitokana na Mapinduzi Makuu ya 1789 na ya Wamarekani ilitokana na Mapinduzi ya 1776 na vita vya uhuru dhidi ya ukoloni wa Waingereza na Civil War ya 1861. Mapinduzi hayo yote yaliweka misingi, kazi ya kuzijenga demokrasia hizo hadi kufikia ziliko leo iliangukia kwenye mabega ya wanaharakati wa aina nyingine: wale waliotumia parliamentary na non-parliamentary politics kuhakikisha haki zinapatikana na demokrasia inapanuka zaidi. Mifano ni mingi na iko karibu katika kila nchi yenye siasa za kibunge. In fact, I dare say, upana au ubora wa demokrasia katika kila nchi unategemea moja kwa moja uthabiti wa uanaharakati katika nchi husika, iwe ndani au nje ya Bunge.

Kuhusu 'fadhila' za nje ya nchi, kama unadhani hiyo inaziondolea legitimacy harakati hizo then narudia kusema tena hujui historia. Wanamapinduzi wa Marekani ya 1776 walinufaika sana kutokana na 'fadhila' za kijeshi na kidiplomasia za Ufaransa ya wakati huo. Wanaharakati wa kupinga utumwa katika Marekani ya kabla na baada ya Civil War walifadhiliwa sana na wanaharakati wa Uingereza (soma maandiko mbali mbali ya Frederick Douglass), n.k. Katika Afrika yetu, harakati za kudai uhuru kutoka kwa wakoloni zilifadhiliwa sana na watu wa nje ya Bara letu. Wamisionari wa Maryknoll Order ya Ireland na New York walimsaidia sana Mwalimu kwenda UN mwaka 1955, Kenyatta alipatiwa mawakili wa Kiingereza wakati wa kesi yake ya Mau Mau, sisi wenyewe tuliwafadhili wapigania uhuru mbali mbali katika miaka ya 70 na 80 na wapinzani wa Serikali za nchi huru ambazo hatukukubaliana nazo kama Malawi ya Banda, Zaire ya Mobutu na Uganda ya Idi Amin. Kwa hiyo kudai, na kurudia rudia, kwamba wanaharakati hufadhiliwa na watu wa nje, n.k. is not being very original about the subject. There's never been anything wrong or strange about that throughout modern history.

Nakubaliana na wewe kwamba Bungeni ni mahali pa hoja na panatawaliwa na kanuni na taratibu za kibunge. Hata hivyo, wewe unadhani kwamba Bungeni sio mahali pa kuibua hoja zinazoonyesha uozo katika mihimili ya dola. Aidha unafikiri kwamba kanuni za Bunge zinakataza mijadala ya aina hiyo. You're badly, if not sadly, mistaken. Erskine May, anayesifika kuwa authority kwenye mila na desturi za mabunge ya Commonwealth ameita Bunge kuwa ni 'grand inquisition' ya taifa, yaani mahali ambapo mijadala ya mambo makubwa yanayolisibu taifa inafanyika na kwa uhuru mkubwa kuliko katika taasisi nyingine yoyote katika nchi. Hiyo ndiyo rationale ya kinga mbali mbali za kibunge. Obviously, watu wa aina yako hamwamini katika hili, mnadhani kwamba Bunge ni mahali pa kufichiana siri na kulindana. Hiyo sio falsafa yangu, na naamini niko sahihi kwa mujibu wa Kanuni za Bunge letu na kwa mujibu wa mila na desturi za kibunge ninazozifahamu.

Tundu.


From: ELISHILIA.D.S KAAYA <kaayashilia@hotmail.com>;
To: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>; wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
Sent: Mon, Aug 20, 2012 6:43:16 PM

Naam. Huo ndio uelewa wangu pia! Hapa nilipenda pia ku" underscore" ukweli kwamba uanaharakati mwingine huyeyuka wanapopewa fursa ya kutenda. Ndiyo sababu nimezungumzia uhusiano wa muda,  matendo na maneno! Hapa Tanzania bado tutaona mengi.
Shilia Kaaya

Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom

-----Original Message-----
From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
Date: Mon, 20 Aug 2012 18:32:47
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki,
maadili ya bunge


Elishilia,

Uanaharakati kama background na haina maana wanauingiza hadi bungeni! Bungeni unatoa hoja, inapingwa na hoja na mwisho kura nyingi zinachukua siku!

Mambo kwisha! Kwenye uanaharakati ukishindwa hoja unaanza kupiga kelele, kuchana bendera, vikaragosi na kuzomea! Bungeni au mahakamani, hayo yanaishia nje ya zulia jekundu!

Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.

-----Original Message-----
From: "ELISHILIA.D.S KAAYA " <kaayashilia@hotmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Mon, 20 Aug 2012 18:22:04
To: Laurean Rugambwa B.<rugambwa@hotmail.com>; millcent@yahoo.com<millcent@yahoo.com>; wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki,
 maadili ya bunge

Hata Jaji Baraza  nae ni mwanaharakati! Ona alichokifanya.Hata hivyo tunasikia atakata rufaa! Muda ndio kipimo cha uadilifu wa kiongozi. Wingi wa maneno husalitiwa na  matendo. Tutoe fursa kwa maneno kupimwa na  matendo kupitia mizani iitwayo muda.
Shilia Kaaya
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom

-----Original Message-----
From: "Laurean Rugambwa B." <rugambwa@hotmail.com>
Date: Mon, 20 Aug 2012 18:07:28
To: <millcent@yahoo.com>; <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki,
 maadili ya bunge


Millicent,
 Jaji mkuu wa Kenya(Dr.Willy Mutunga) ni mwanaharakati wa kufa mtu!
 
  Lakini huyo amekali kiti na walimpa kwa kumjua msimamo wake, maandiko yake and I can tell you, he will transform judiciary in Kenya.
 
 Just watch our brothers are ahead of us in everything, whether we like it or not. They have something to teach us.
 
 Good evening,
 LR
 Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
 
 -----Original Message-----
 From: Millcent <millcent@yahoo.com>
 Date: Mon, 20 Aug 2012 15:53:42
 To: <wanabidii@googlegroups.com>
 Cc: <wanabidii@googlegroups.com>
 Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki,
  maadili ya bunge
 
 
 Tony PT, Mh Lissu, Chambi na wengine habari
 
 
 Tunashukuru kwa shule kali kuhusu nafasi ya Activism kwenye bunge na siasa kwa jumla
 
 
 Nakubaliana na wengi lengo kuu ya siasa ni kuboresha maisha ya nchi husika na silaha zote zinatakiwa kutumika iwe ni 'uanaharakati', u Polisi, u Jaji nk
 .Lengo kuu ni tuondoe maovu yanayotukabili
 
 
 Tony PT unafaa ungekuwepo Bungeni na kuungana na wakina Mh Lissu kuiendeleza nchi
 
 Sent from Millcent's iPhone 4s
 
 On Aug 20, 2012, at 17:18, "Tony PT" <tony_uk45@yahoo.co.uk <mailto:tony_uk45@yahoo.co.uk> > wrote:
 
 
 
 Chambi,
 
 Heshima hainunuliwi ni ya bure tu! Msemo huu ni wa siku nyingi na hauna maana yoyote mbaya dhidi ya wanaouthamini! Tuheshimiane tu...! Akili ni nywele kila mtu ana zake!
 Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.
 ----------------
 
 From:  Chambi Chachage <chambi78@yahoo.com <mailto:chambi78@yahoo.com> >
 Sender:  wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Mon, 20 Aug 2012 07:06:06 -0700 (PDT)
 To: wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com> <wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com> >
 ReplyTo:  wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com>
 Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
 
 
 
 D, kilichomkera Tony PT ni matumizi ya Tony D. Kwa heshima na taadhima ambayo Bunge linatakiwa kuwa nazo ili kusiwe na kuumbuana basi nitakuwa natumia Tony PT tu badala ya Tony D ili kulinda hiyo "bon-fide" inayojificha nyuma ya 'anonomity'. Ila, kha, haya ma-bona fide ndiyo yanasababisha tuwe na staha kwa mafisadi kisa kuwataja kwa majina ni kuwaumbua. Whatever happened to Name and Shame? Ah, ndio, ni mambo ya harakati za kina Tundu tu hayo - yanapaswa kuishia Mwembe Yanga na si kwenye Bunge Tukufu!
  
 "To name and shame is to "publicly say that a person, group or business has done something wrong".[1] <http://en.wikipedia.org/wiki/Name_and_shame#cite_note-0>  It is used to discourage some kinds of activity (including anti-social <http://en.wikipedia.org/wiki/Anti-social_behaviour>  or criminal <http://en.wikipedia.org/wiki/Criminal> ) by publishing the names of those involved" - http://en.wikipedia.org/wiki/Name_and_shame
 
 
 
 
 
 
 
  From: denis Matanda <denis.matanda@gmail.com <mailto:denis.matanda@gmail.com> >
  To: wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com
  Sent: Monday, August 20, 2012 9:35 AM
  Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
   
 
 
 Tony
 Kwa unyenyekevu wa kipekee please naomba umjibu chambi.  Sisi wengine tunaufuatilia sana mjadala huu tupate kujifunza. Please man!
 On 20 Aug 2012 16:10, "Tony PT" <tony_uk45@yahoo.co.uk <mailto:tony_uk45@yahoo.co.uk> > wrote:
  
 Chambi,
 
 Sina comment kwavile hauna courtesy kwangu na tulishakubaliana kutoendelea na ubishi na wewe kuhusu bon-fide!
 
 
 
 Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.
 ----------------
 
 From:  Chambi Chachage <chambi78@yahoo.com <mailto:chambi78@yahoo.com> >
 Sender:  wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Mon, 20 Aug 2012 06:02:39 -0700 (PDT)
 To: wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com> <wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com> >
 ReplyTo:  wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com>
 Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
 
 
 
 Kudhani/Kuamini kuwa eti 'liberal democracy'/'parliamentary democracy' ya Tanzania itafuata tu njia ile ile ambayo  Uingereza, Marekani na nchi zingine za Magharibi/Kaskazini zinafuata ni ndoto ya alinacha. Hebu turejee mfano wa jinsi suala la rada  lilivyojadiliwa katika Bunge la Uingereza na la Tanzania. Kwa tafsiri ya mwanazuoni mahiri wa Mfumo Dola wa Tanzania, Tony D, hata Claire Short aliyeiwekea ngumu rada isiuzwe Tanzania katika mjadala wa Bunge la Uingereza atakuwa ni mwanaharakati aliyekengeuka kwa kutozingatia kile ambacho Tony Bin D anasisitiza hakitakiwi kufanyika Bungeni eti kwa mujibu wa nadharia za Udola!
 
 
 Tanzania ya sasa inapitia katika kipindi kigumu ambacho uwanaharakati bungeni ni muhimu ili kuondoa uozo. Ni uwanaharakati uliozaa sakata la Buzwagi lililong'oa mafisadi waliokuwa katika mhimili mmoja wa dola. Pia ni uwanaharakati uliozaa sahihi 70 zilizong'oa mafisadi wengine katika mhimili huo wa dola. Sasa ni wakati kwa uwanaharakati kuwaondoa mafisadi katika huo mhimili mwingine wa dola ambao unapaswa kuhakikisha kuwa haki inatendeka na kuonekana kuwa inatendeka. Mwanafikra wa Mfumo wa Dola, Tony , atakuwa amemsoma pia Antonio Gramsci aliyesisitiza kuwa jamii ina wanazuoni wa aina kuu mbili - waliojikita katika jamii (organic intellectuals) na waliokumbatia mfumo uliopo (traditional intellectuals). Labda Gramsci naye amepitwa na wakati kwa kuwa tu alikuwa na itikadi ya mrengo wa kushoto kwa Tony!
  
 
 
  
  From: Tony <tony_uk45@yahoo.co.uk <mailto:tony_uk45@yahoo.co.uk> >
  To: "wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com> " <wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com> >
  Sent: Monday, August 20, 2012 4:57 AM
  Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
   
 
 
 
 
 Mhe. Lisu,
 
 
 You may also read a book, which gives more on parliamentary culture in contemporary political philosophy: Carl Schmit is the theorist whose doctrine in political thought and critique of liberalism ideals sheds light on theories of modern politics, The book "Crisis of Parliamentary Democracy" first published in 1923 with a revision in 1926 has remain unchallenged in the field since Hobbes theories of mediaeval Britain. 
 
 
 Tunasaidiana kupanuana uelewa tu...
 
 
  
 
 
  From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk <mailto:tony_uk45@yahoo.co.uk> >
  To: wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com
  Sent: Monday, 20 August 2012, 11:19
  Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
   
 
 
 TL,
 
 Sijui uelewa wangu na wako kwenye hili kama wazidiana kiasi gani, wewe mwanasheria inawezekana unao utaalamu huu (!) wa kuweza kubashiri uelewa jadidi wa binadamu mwenzio katika kipindi kifupi!
  
 Kwanza maandiko ya Rosa na Lennin nimeyasoma na yamepata critique za kila aina na wanataaluma wengi na mahiri hapa duniani. Na they're no longer upheld na kubeba umahiri (authority) wa siasa za kimamboleo!
 
 Lakini itikadi yako ambayo naiona toka matendo na hotuba zako, imelalia kuhusudu ujamaa wa akina Marx na waliofuata itikadi hiyo (Wachina na Wakyuba), sioni ajabu unapokumbatia maandiko hayo kwenye karne ya leo. Ukumbuke theory zao zilidumu miaka 70 tu na zimebadilishwa sana hata waliozishikilia hadi leo.
  
 Activism haitumiki ndani ya mabunge bali inatumika kwenye "deliberative democracies practices" mara nyingi activism, social justice movements, structural inequalities na deliberative democracy hutumiwa vizuri na institutions za kisiasa nje ya Bunge. Bunge ni structured state organ na ni taasisi inayofuata prescribed procedures, rules na kuongozwa na katiba. Tofauti na activism ya jambo lolote huwa haielekei hata siku moja kufuata utaratibu ingawa kinadharia, wanashikilia kufanya kuwa na taratibu katika kudai wanachokitaka!
  
 Katika karne hii baada ya liberal democracies kuingia kwa kasi tumeshuhudia uanaharakati kuingia kwenye bunge; mfano vyama vya kijani (green parties), ambao ni wanaharakati wa mazingira. Hata hao waliingia bungeni na hawajafaulu sana na walikuwa na lengo maalum.
  
 Staili ya activism hii kwenye democracy mara nyingi tangu mwanzo wa karne hii tunaishuhudia kwenye vyombo vya habari (democratic media activism), ambayo inakubalika na jamii kwavile ni kati ya "social movement theories" za akina Melucci, Cohen+Arato, Habermas, na Fraser.
  
 Uanaharakati kama tunaouona hapa Tz na ambao umekuwepo nchi nyingine (na sio kwenye mabunge), ambao wewe unatuaminisha ni sawa na wakudai haki na utawala bora, mara nyingi hufadhiliwa na vikundi kutoka nje ya nchi husika na huwa si endelevu kwavile baada ya kubadilisha utawala uliopo kwenye nchi husika, huishia hapo na makundi mengine ya kianaharakati huibuka kupinga status-quo! Ufadhili huo hufanywa na vikundi vyenye maslahi ya kiuchumi au with strategic interest kwa taifa husika!
 
 Kulingana na historia, uanaharakati wa aina hii unatumika nje ya taasisi za kidola kama pressure groups ukisaidiwa sana na tasnia za habari.
 
 Unaweza kusoma tofauti hizi kwenye kitabu cha Fishkin & Laslett cha 2008.
  
 Swali dogo la kujiuliza ni kwanini theories za akina Lennin leo hazitawali tena dunia na zimebaki rejea za wanafunzi wa political history na uchumi wa kijamii? Hazina mshiko ena kwenye neo-political philosophy na hata uchumi jamii mamboleo.
  
 Tunachangia hapa kupanuana uelewa tu na sio kudhalilishana au kubezana kama mwelekeo ninaouona kushamiri kwako. Utusamehe bure kama tunakuudhi Mheshimiwa.
 
 Jambo ambalo nalishangaa kidogo kwenye hoja yako hapa ni uwezo gani ulio nao wa kudhani mtu anayekupinga kuwa na uelewa mdogo kuhusu jambo unaloelezea? Unajuaje uelewa wako ni wa juu kuliko wengine (authoritative)? Hiyo nayo ni dosari, kama mwanasiasa inabidi uibadilishe, ni sawa kama ungekuwa upo mahakamani ili kushinda kesi.
 Ni tafakuri yangu tu!
 
 
 Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.
 ----------------
 
 From:  Tundu Lissu <lissubulali@yahoo.com <mailto:lissubulali@yahoo.com> >
 Sender:  wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Sun, 19 Aug 2012 23:57:49 -0700 (PDT)
 To: <wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com> >
 ReplyTo:  wanabidii@googlegroups.com <mailto:wanabidii@googlegroups.com>
 Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
 
 
 
 Tony,
 
 Nilichokisema bungeni kinaitwa na Kanuni za Kudumu za Bunge 'Maoni ya Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.' Kwa sababu hiyo, hayo ni maoni yangu. Lakini kwa kuwa yametolewa in my official capacity kama Msemaji wa Kambi, ni maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni. Tumejenga utamaduni mzuri katika Kambi yetu ambapo Maoni ya Msemaji wa Kambi hujadiliwa kwanza kabla ya kuwasilishwa Bungeni. Of course, kama Msemaji wa Kambi amefanya kazi yake sawa sawa, what's eventually presented in Parliament will bear a very strong imprint, if not style, of the author. Mimi huandika hotuba zangu mwenyewe, nafanya research mwenyewe na kwa hiyo whatever you see p=
 
 --
 Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com <http://www.mwanabidii.com>  <http://www.mwanabidii.com>
 Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com <http://www.kazibongo.blogspot.com>  <http://www.kazibongo.blogspot.com>
 Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com <http://www.patahabari.blogspot.com>  <http://www.patahabari.blogspot.com>
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
 Disclaimer:
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com <http://www.mwanabidii.com>
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com <http://www.kazibongo.blogspot.com>
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com <http://www.patahabari.blogspot.com>

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com <http://www.mwanabidii.com>
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com <http://www.kazibongo.blogspot.com>
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com <http://www.patahabari.blogspot.com>

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment