From: kailima kombwey <kailima.kombwey@googlemail.com>
Sent: Monday, August 20, 2012 16:09
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Utetezi wa Mhe Tundu Lisu mbele ya kamati ya haki, maadili ya bunge
Ndugu zangu nadhani hapa kuna mambo mawili 1. kwanza TL ana nafasi ya kuwasilisha utetezi wake kwenye Kamati. Swali je amewasilisha utetezi huu kwenye Kamati kisha akaupeleka kwenye vyombo vya habari au aumefanya kinyume chake i.e kuwasilisha utetezi kwenye vyombo vya habari kabla ya kuuwasilisha kwenye Kamati? 2. Hivi sasa Watanzania tumefikia sehemu kwamba akitoa hoja mtu Nayoisema Serikali hata kama hoja ni sahihi au siyo sahihi na akawa hakutumia utaratibu unaopaswa na akatokea mtu akaweka utaratibu basi huyo mtu wa pili huonekana kama hana akili vile. Lakini wanasias wengi wanatumia uwezo wetu mfinyu wa kutafakali mambo kutufanya tuamini wanachosema kwa kuwa hatuna muda w kutafakali. Kunahutakika MAPINDUZI YA KIFIKRA
On Aug 20, 2012 3:48 PM, "Tony PT" <tony_uk45@yahoo.co.uk> wrote:
Edgar,
Soma thru posting zangu!
Ninachopinga sio maneno au utetezi wake, ninapinga approach au utaratibu alioutumia! Uozo upo, lakini sio mahakama au majaji wote hawajui kiingereza, kuandika hukumu n.k. Kwa kutangazia umma ili uelewe hivyo! Kuna majaji wazuri, qualified na waadilifu!
Ukumbuke utetezi wa TL kwenye kamati ndio umetaja mifano michache na akaeleweka. Mimi naongelea approach ya kutuhumu mhimili wote kwenye bunge zima. Bungeni hakutoa mifano aliyotoa kwenye kamati. Aliyoyasema ni kweli yametokea. Ninachosisitiza ni kuwa uozo huu angepeleka ombi kwa spika (kwa maandishi) ili kuomba aieleze kamati husika kuhusu uozo wa majaji. Spika angekataa, hapo ilikuwa halali kufanya alichofanya!Sent from my BlackBerry® Porsche-9981 smartphone Thru Tigo Network, Tanzania.From: Edgar Mbegu <embegu@hotmail.com>
[The entire original message is not included]
0 comments:
Post a Comment