Thursday 23 August 2012

Re: [wanabidii] Re:DK. MWAKYEMBE AFAGIA BANDARINI

MWAKYEMBE HOYEEEE; LIVE LONG...

--- On Thu, 8/23/12, Nico Eatlawe <eatlawe@yahoo.com> wrote:

From: Nico Eatlawe <eatlawe@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] Re:DK. MWAKYEMBE AFAGIA BANDARINI
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, August 23, 2012, 9:48 AM

Juzi tumeambiwa na ENL kuwa tufanye maamuzi na tuyasimamie. Sasa tunaona Mwakyembe kafanya maamuzi magumu. Hakuna haja ya kushakia motive maadam ni hatua sahihi. Kwa vyovyote vile katika kila wizara kuna madudu ila kuna wanaoongopea kuchukua hatua. Na kazi iendelee bila woga. Naamini watu wa Kusini siyo waoga au aina ya ndio mzee.
 
Hatua hizi zinaweza kuwa sehemu ya utekelezaji wa mapambano dhidi ya ufisadi kwa matendo. We need to support this kind of move!

From: Henry John <mwakigali@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, 23 August 2012, 16:40
Subject: Re: [wanabidii] Re:DK. MWAKYEMBE AFAGIA BANDARINI

Wanaoonesha utendaji wa kizalendo tuwatie moyo kuliko kuwavunja moyo kuwa eti labda ni mbio za kueleke 2015, hata km ni hivyo sawa maadam anatenda kile tunachoona kinafaa kwa maslahi ya Taifa.Wachukue maamuzi magumu kama hayo ili kuliokoa Taifa na madudu yaliyojaa kila kona ya Tanzania hii

With regards Mwakigali John


--- On Thu, 23/8/12, F kitigwa <kitigwa@gmail.com> wrote:

> From: F kitigwa <kitigwa@gmail.com>
> Subject: Re: [wanabidii] Re:DK. MWAKYEMBE AFAGIA BANDARINI
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Thursday, 23 August, 2012, 18:21
> Anajitahidi sana atiwe moyo.
> Ila isije kuwa ni maandalizi ya uchaguzi wa 2015, tutaona
> sinema nyingi sana safari hii.
>
> 2012/8/23 LILIAN
> TIMBUKA <lilytimbuka@yahoo.com>
>
>
> Habari zenu na hongereni kwa kazi.
>
> Kali ya mchana wa leo, Dk. Mwakyembe atimua mabosi wa
> Bandari, Yumo Mgawe na Manaibu wake wawili, Meneja wa
> Bandari ya Dar es Salaam na Watendaji wakuu wote wa Gati ya
> Mafuta ya Kurasini, pia ameunda tume ya watu saba kuchunguza
> mkataba wa TICS.
>
>
>
>
> --
>
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
>  
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
>  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>  
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
> for any legal consequences of his or her postings, and hence
> statements and facts must be presented responsibly. Your
> continued membership signifies that you agree to this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>  
>
>  
>
>
>
>
>
>
> --
>
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
>
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
>  
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
> kudhibitisha ukishatuma
>
>  
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
> for any legal consequences of his or her postings, and hence
> statements and facts must be presented responsibly. Your
> continued membership signifies that you agree to this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and
> Guidelines.
>
>  
>
>  
>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.




--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment