Kama taarifa zingine hazitakiwi unatafuta za nini? Anayezitaka si azitafute? Mimi nimehezabiwa sikuuliza una mashati mangapi. Maana serikali haihitaji taarifa hizo. Lakini baada ya kuhesabu mimi nikamuuliza mwanangu ana shati ngapi, maana nilitaka kuona kama anahitaji kununuliwa jingine. Huhitaji kukusanya kila taarifa ili mradi unatumia hela.
--- On Sun, 8/26/12, Salim Khatri <skhatri@orcis.com> wrote:
From: Salim Khatri <skhatri@orcis.com> Subject: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] SENSA YA MAKAZI NA WATU 2012 : NIMEHESABIWA WEWE JE ? To: Wanazuoni@yahoogroups.com Cc: wanabidii@googlegroups.com Date: Sunday, August 26, 2012, 1:05 AM
Faida gani kutumia mabillioni halafu hutaki baadhi ya data... Sawa na uende kwa daktari utake akuambie tu kama ni malaria, kipindupindu ama kifafa lakini asukuambie kama ni Ukimwi ama Gono... Eti ikijulikana kama Ukimwi ama Gono litatia aibu na hata kuleta mfarakano kwenye familia. Kwa hiyo dawa ni kutokujua kabisa hayo maradhi mengine....
On Aug 26, 2012 10:54 AM, "Yona Maro" < oldmoshi@gmail.com> wrote: Ndugu zangu
Zoezi la Sensa ya Makazi na watu 2012 linaendelea nchi Nzima , Mimi mkazi wa Ubungo nimeshahesabiwa na zoezi lenyewe lilikuwa salama na la amani kabisa kwa maana maswali yanayoulizwa ni ya kawaida tena unamwona anavyojaza au kuweka alama hakuna kinachofichwa na kila kaya ina karatasi lake la kujaziwa .
Sijaulizwa Dini yangu wala kabila langu .
Wengine tujitokeze kwa wingi zaidi kuhesabiwa na kutoa taarifa zetu za ukweli .
__._,_.___ . __,_._,___ -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
|
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment