Bwana Matinyi,
Nakubaliana na wewe kwamba kimsingi, (licha ya kwamba nao ni wadau) viongozi wa dini hawapaswi kujiingiza moja kwa moja katika harakati ambazo kimsingi ni za kisiasa.
Huo ni upande mmoja. Lakini, upande wa pili, ni kwamba wanasiasa nao hawapaswi kubeba ajenda ambazo kimsingi ni za kidini.
Ukishafumbia macho suala la serikali, vyama vya siasa au wanasiasa mmoja mmoja kubeba ajenda ambazo moja kwa moja ni za kidini, huwezi kuwaondoa viongozi wa dini kwa namna yoyote ile katika masuala ambayo moja kwa moja ni ya kisiasa.
From: matinyi@hotmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
CC: abdulugone@yahoo.com; hudaeditor@hotmail.com; ammychekanae@yahoo.com; bkimwanga@yahoo.com; mhariri@habarileo.co.tz; nkizitto@mwananchi.co.tz; majira@majira.co.tz; kimesha07@yahoo.com; mkingamkinga@yahoo.com; mobinsons@yahoo.com; muhibu72@yahoo.co.uk; nipashe_gazeti@hotmail.com; minnalove40@yahoo.com; salimli2006@yahoo.co.uk; tzdaima@freemedia.co.tz; news@thecitizen.co.tz; lipumba@yahoo.com; juliusmtatiro@yahoo.com; jussa29@hotmail.com; jussa30@hotmail.com; abu_zahir1945@yahoo.com
Subject: RE: [wanabidii] Fw: JAJI WARIOBA MNAVUNA MLICHOPANDA
Date: Tue, 14 Aug 2012 12:27:39 +0000
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Nakubaliana na wewe kwamba kimsingi, (licha ya kwamba nao ni wadau) viongozi wa dini hawapaswi kujiingiza moja kwa moja katika harakati ambazo kimsingi ni za kisiasa.
Huo ni upande mmoja. Lakini, upande wa pili, ni kwamba wanasiasa nao hawapaswi kubeba ajenda ambazo kimsingi ni za kidini.
Ukishafumbia macho suala la serikali, vyama vya siasa au wanasiasa mmoja mmoja kubeba ajenda ambazo moja kwa moja ni za kidini, huwezi kuwaondoa viongozi wa dini kwa namna yoyote ile katika masuala ambayo moja kwa moja ni ya kisiasa.
From: matinyi@hotmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
CC: abdulugone@yahoo.com; hudaeditor@hotmail.com; ammychekanae@yahoo.com; bkimwanga@yahoo.com; mhariri@habarileo.co.tz; nkizitto@mwananchi.co.tz; majira@majira.co.tz; kimesha07@yahoo.com; mkingamkinga@yahoo.com; mobinsons@yahoo.com; muhibu72@yahoo.co.uk; nipashe_gazeti@hotmail.com; minnalove40@yahoo.com; salimli2006@yahoo.co.uk; tzdaima@freemedia.co.tz; news@thecitizen.co.tz; lipumba@yahoo.com; juliusmtatiro@yahoo.com; jussa29@hotmail.com; jussa30@hotmail.com; abu_zahir1945@yahoo.com
Subject: RE: [wanabidii] Fw: JAJI WARIOBA MNAVUNA MLICHOPANDA
Date: Tue, 14 Aug 2012 12:27:39 +0000
Watanzania wenzangu,
Kuhusu vyama vya siasa na asasi za kiraia sina tatizo lakini kuhusu viongozi wa dini na ghasia zao zote napinga mno ushiriki wao kwenye kila aina ya shughuli ya kisiasa kuanzia na huu mchakatio wa kuelekea kwenye katiba mpya. Dini zikae mbali na siasa. Dini ni sumu kwa mustakabali wa taifa lolote, siyo Tanzania tu, labda kama watu wanakubaliana kwamba wawe na taifa la kidini. Hakuna kutumia akili kwenye dini - watu wanaweza kufanya mambo yasiyofaa kwa sababu tu kiongozi wa dini (binadamu mdhambi kama wao) amewaambia hivyo kwa kusingizia sauti ya Mungu. Kwenye jamii ya watu kama siye wenye njaa na tusiokuwa na elimu ama upeo mkubwa, ni hatari mno kuachia viongozi wa dini na asasi zao kuwa na sauti. Hili si jambo la kufanyia mchezo wala mzaha - dini ni suala la mtu binafsi na libaki huko ndani ya moyo wa kila mtu na familia yake.
Mobhare Matinyi.
Date: Tue, 14 Aug 2012 03:37:17 -0700
From: mobinsons@yahoo.com
Subject: [wanabidii] Fw: JAJI WARIOBA MNAVUNA MLICHOPANDA
To: wanabidii@googlegroups.com
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
Kuhusu vyama vya siasa na asasi za kiraia sina tatizo lakini kuhusu viongozi wa dini na ghasia zao zote napinga mno ushiriki wao kwenye kila aina ya shughuli ya kisiasa kuanzia na huu mchakatio wa kuelekea kwenye katiba mpya. Dini zikae mbali na siasa. Dini ni sumu kwa mustakabali wa taifa lolote, siyo Tanzania tu, labda kama watu wanakubaliana kwamba wawe na taifa la kidini. Hakuna kutumia akili kwenye dini - watu wanaweza kufanya mambo yasiyofaa kwa sababu tu kiongozi wa dini (binadamu mdhambi kama wao) amewaambia hivyo kwa kusingizia sauti ya Mungu. Kwenye jamii ya watu kama siye wenye njaa na tusiokuwa na elimu ama upeo mkubwa, ni hatari mno kuachia viongozi wa dini na asasi zao kuwa na sauti. Hili si jambo la kufanyia mchezo wala mzaha - dini ni suala la mtu binafsi na libaki huko ndani ya moyo wa kila mtu na familia yake.
Mobhare Matinyi.
Date: Tue, 14 Aug 2012 03:37:17 -0700
From: mobinsons@yahoo.com
Subject: [wanabidii] Fw: JAJI WARIOBA MNAVUNA MLICHOPANDA
To: wanabidii@googlegroups.com
----- Forwarded Message -----
From: abdulrahman Lugone <abdulugone@yahoo.com>
To: Alhuda <hudaeditor@hotmail.com>; Amina Chekanae <ammychekanae@yahoo.com>; Bakari Kimwanga <bkimwanga@yahoo.com>; Habarileo <mhariri@habarileo.co.tz>; Kizitto Noya <nkizitto@mwananchi.co.tz>; majira <majira@majira.co.tz>; Meshack Kitunzi <kimesha07@yahoo.com>; Mkinga Mkinga <mkingamkinga@yahoo.com>; mobini sarya <mobinsons@yahoo.com>; Muhibu Said <muhibu72@yahoo.co.uk>; nipashe <nipashe_gazeti@hotmail.com>; Rabia Bakari <minnalove40@yahoo.com>; Salim Said <salimli2006@yahoo.co.uk>; Tanzania Daima <tzdaima@freemedia.co.tz>; The Citizen <news@thecitizen.co.tz>
Cc: Ibrahim Haruna Lipumba <lipumba@yahoo.com>; Julius Mtatiro <juliusmtatiro@yahoo.com>; Jussa Ladhu <jussa29@hotmail.com>; Jussa Ladhu <jussa30@hotmail.com>; Salim Bimani <abu_zahir1945@yahoo.com>
Sent: Friday, August 10, 2012 4:34 PM
Subject: Fw: JAJI WARIOBA MNAVUNA MLICHOPANDA
From: abdulrahman Lugone <abdulugone@yahoo.com>
To: Alhuda <hudaeditor@hotmail.com>; Amina Chekanae <ammychekanae@yahoo.com>; Bakari Kimwanga <bkimwanga@yahoo.com>; Habarileo <mhariri@habarileo.co.tz>; Kizitto Noya <nkizitto@mwananchi.co.tz>; majira <majira@majira.co.tz>; Meshack Kitunzi <kimesha07@yahoo.com>; Mkinga Mkinga <mkingamkinga@yahoo.com>; mobini sarya <mobinsons@yahoo.com>; Muhibu Said <muhibu72@yahoo.co.uk>; nipashe <nipashe_gazeti@hotmail.com>; Rabia Bakari <minnalove40@yahoo.com>; Salim Said <salimli2006@yahoo.co.uk>; Tanzania Daima <tzdaima@freemedia.co.tz>; The Citizen <news@thecitizen.co.tz>
Cc: Ibrahim Haruna Lipumba <lipumba@yahoo.com>; Julius Mtatiro <juliusmtatiro@yahoo.com>; Jussa Ladhu <jussa29@hotmail.com>; Jussa Ladhu <jussa30@hotmail.com>; Salim Bimani <abu_zahir1945@yahoo.com>
Sent: Friday, August 10, 2012 4:34 PM
Subject: Fw: JAJI WARIOBA MNAVUNA MLICHOPANDA
--- On Fri, 8/10/12, Jumuiya Vijana <juvicuf@yahoo.com> wrote:
|
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment