Tuesday 18 July 2006

[wanabidii] RE: [TPN] Miaka hii ya maumivu

Tatizo bado tunasema  na kuimba tuchague kiongozi Bora……..ukweli tunatakiwa tuanze na kuchague serikali BORA… hayaa kazi kwenu.

 

From: wanataaluma@googlegroups.com [mailto:wanataaluma@googlegroups.com] On Behalf Of Bubelwa E. Kaiza
Sent: Thursday, May 28, 2015 12:35 AM
To: wanataaluma@googlegroups.com
Cc: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [TPN] Miaka hii ya maumivu

 

Ndugu Watanzania,

Mmeona hiyo barua iliyoamtanishwa katika barua-pepe hii? Tafadhali someni. Tafuna na kuchambua ujumbe uliomo. Kama ni mimba, mama hajifungui; mtoto hazaliwi salama. Hakuna mtoto, hakuna mama. The country is done, Serikali is gone. Waswahili wanasema kwishnei.

Ngago.

Kaiza

 

 

 

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanataaluma wa Tanzania" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanataaluma+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Read More :- "[wanabidii] RE: [TPN] Miaka hii ya maumivu"